Yaani Chagadema wanadhani wapiga kura ni majuha, sheria zao zina double standards wengine wa kanda ya ziwa wanafukuzwa wenyewe wachaga wakina Lema wanatukana wanavyotaka hakuna wa kuwaonya, wakita yao katiba haufuatwi, hivi leo hii mwenyeji wa Mara, Mwanza Kigoma, Tanga, Pwani, Lindi,MTwara na mikoa yote ambayo si KLM na Arusha kuishabikia Chagadema ni kutojitambua, chama kina wenyewe,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.