Nathason2
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 598
- 680
Yaani risasi ikapigwe pale magogoni(kwenye makazi ya baba jeska) na mpigaji asijulikane, kweli?
Acheni akili ndogo nyie watu, nendeni mkatubu kwanza, ili tujue mmetubu, mkishatubu endeleeni na ile ngonjera rahisi ya Tanzania ya viwanda vinginevyo vioja kama hizi ni ngumu sana kueleweka.
Acheni akili ndogo nyie watu, nendeni mkatubu kwanza, ili tujue mmetubu, mkishatubu endeleeni na ile ngonjera rahisi ya Tanzania ya viwanda vinginevyo vioja kama hizi ni ngumu sana kueleweka.