SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
ritz acha ujinga, ccm ndio walioanza na kulea tabia ya kuvunja sheria. Kama ccm wangekuwa watii wa sheria mbowe asingekuwa jasiri wa kumvimbia ocd.
Kwenye kampeni wa jk 2010 arusha. Jk alifika saa 12 jioni na kumaliza saa 1 usiku. Cdm walipolalamika tendwa akawatetea ccm kipuuzi. Mnatumia dola kulea upuzi halafu cdm wakiidharau mnalalamika.
kwa mantiki hiyo hata cdm hawafai kwa7bu wanashindana na jk ktk makosa,,,,,,sivyo??