Wewe hukuwepo huko Mangaka kwenye tukio, sasa haya majungu ya nini? unatumika kama kondom mwishowe utaishia choo cha shimo!
Je ukiulizwa leo mamlaka ya tanzania ni ipi utajibu nn?Mamlaka ni nn?
M a i n iJe ukiulizwa leo mamlaka ya tanzania ni ipi utajibu nn?
Wanabodi.
Ninapenda sana hatua ya viongozi wa Chadema kuzunguka mikoani kuimarisha chama chao, ni hatua nzuri ambayo wananchi watapata nafasi kuijua vizuri Chadema ili kufanya maamuzi kama kujitoa ama kubaki ndani ya chama hicho.
Kila kikundi, chama au taasisi yeyote inapofanya mambo yake bila kuwepo na utaratibu, kuna hatari kubwa ya kutokea fujo.
Ni hatari kwa kiongozi wa chama kutofuata utaratibu wiki iliyopita Chadema walifanya mkutano wao kule Mtwara, Mbowe alimgomea (OCD) wa Nanyumbu, Mohamed Said, alipokuwa akihutubia eneo la Mangaka, OCD alimtaka Mbowe ashuke jukwaani kwa kuwa muda wa kuhutubia ulikuwa umemalizika saa 12 jioni.
Chadema msiwatumie raia wapenda amani kufanikisha malengo yenu ya kisiasa.
Basi huo ndio mwisho wa upeo wako. Bali mamlaka ya Tanzania ni serikali iliyopo madarakani ambayo ni:-M a i n i
Kwa hiyo unakiri kwamba wanaoleta shari siku zote ni policeccm kwa kutotumia akili?
Mkuu ritz, usinionee huruma mimi, wala usiniombee kwa Mungu, jionee huruma wewe mwenyewe kwanza unayetumiwa kama kondomu na mafisadi wanaohujumu nchi hii na kutuumiza watanzania wote bila huruma pamoja na wazazi wako. Najua malipo haramu unayolipwa na mashetani una warushia hata wazazi wako, lakini je, wanastahili kula makombo kwa gharama ya watanzania wenzao?Afadhali kuchakaa nguo unaweza kununua zingine kuliko kuchakaa akili utanunua wapi? Sasa wewe umechakaa akili sina cha kukusaidia zaidi ya kukuombea kwa Mungu.
Ni kweli kabisa!unajua viongozi wa CDM wanajifanya wako juu ya sheria lakini cha moto waliisha kiona hata wenyewe wana kumbukumbu ya yaliyotokea Arusha kwa mbwembwe hizohizo.Sisi wananchi tunajua ni CCM pekee nchi hii inayopenda kudumisha Amani na upendo kwa watanzania.
Mkuu ritz, usinionee huruma mimi, wala usiniombee kwa Mungu, jionee huruma wewe mwenyewe kwanza unayetumiwa kama kondomu na mafisadi wanaohujumu nchi hii na kutuumiza watanzania wote bila huruma pamoja na wazazi wako. Najua malipo haramu unayolipwa na mashetani una warushia hata wazazi wako, lakini je, wanastahili kula makombo kwa gharama ya watanzania wenzao?
Umeelewa topic au ndo kudandia gari wakati hujui laelekea wapi? Tatizo lenu ni kupenda kuchangia sana wakati mada hujui!!!! Hata sielewi amani unayoiongelea nilishasema kuwa peace is not only the absence of guns and bomb blasts, its more than that!!!!Ni kweli kabisa!unajua viongozi wa CDM wanajifanya wako juu ya sheria lakini cha moto waliisha kiona hata wenyewe wana kumbukumbu ya yaliyotokea Arusha kwa mbwembwe hizohizo.Sisi wananchi tunajua ni CCM pekee nchi hii inayopenda kudumisha Amani na upendo kwa watanzania.
Mkuu wangu ritz, bahati mbaya sana kwako ni kuwa huna ulichowahi kufundishwa zaidi ya kujipendekeza kwa watawala na kuwakashifu watu wanaopambana udhalimu. Ni ndani ya ulimbukeni huo ndio maana una thubutu kumwaga mitusi kama hii kwa wengine!Naona umekasirika kweli mpaka akili imehama! Mkuu kwa hiyo wewe umetumwa na Mbowe au Slaa? Kwa hiyo Chadema wakichukuwa nchi Watanzania wote watakuwa na maisha mazuri watakula vya halali tupu... mkuu wangu mie siwezi kuingiza mambo ya wazazi wako kuwavunjia heshima sijafundishwa hivyo, mie nimekuachia wewe mkuu ukijisikia kuwavunjia tena heshima tena kama unavyofanya ruksa mie sina kinyongo...
JF Daima.
Afadhali kuchakaa nguo unaweza kununua zingine kuliko kuchakaa akili utanunua wapi? Sasa wewe umechakaa akili sina cha kukusaidia zaidi ya kukuombea kwa Mungu.
Chadema ni janga la kitaifa. Wananchi wanalikumbatia.