mohamedjohn
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 467
- 277
Naona umetumwa kujakuchafua akilizetu ety tutaisoma wote baada ya minne kuisha ile yakisheria tutaangalia yakumuongea Kama nimitano ikitupendeza zaidi Saba kabisaNi wazi kuwa baada ya CHADEMA kubakiwa na wabunge 20 tu uwanja wa bunge hautakuwa rafiki sana kwao kutupasha taarifa "nzito nzito" kama ilivyozoeleka.
Hivyo nawashauri CHADEMA kwa haraka watafute njia mbadala za kuhabarisha Umma makandokando ya chama tawala na Serikali yake kama yapo.
Tusisahau kuwa CHADEMA bado ni chama kikuu cha upinzani na vyama vingine vilivyobaki havina historia ya kuikemea CCM na Serikali yake.
Maendeleo hayana vyama!