akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
Ni wazi kabisa sasa kuwa CUF ni chama cha kidini na kihafidhina. Lengo la CUF ni kuhakikisha kuwa vyama vya upinzani visivyo na udini na hasa visivyo vya dini yao vinakufa.
Hivi sasa ukitaka ku-shoot dudu mla watu(CCM) unakutana na kikwazo kinaitwa CUF.
USHAURI WA KIMAPAMBANO.
CUF ni pemba +baadhi ya wanadini fulani. CHADEMA concetrate hapa kisiasa na mimi upande wangu nitafanya kazi takatifu ya siri tubomoe hawa manyang'au.
Hapa ndio kwenye roho ya CUF.
Jeshi langu limeshaanza kazi tayari.
Hivi sasa ukitaka ku-shoot dudu mla watu(CCM) unakutana na kikwazo kinaitwa CUF.
USHAURI WA KIMAPAMBANO.
CUF ni pemba +baadhi ya wanadini fulani. CHADEMA concetrate hapa kisiasa na mimi upande wangu nitafanya kazi takatifu ya siri tubomoe hawa manyang'au.
Hapa ndio kwenye roho ya CUF.
Jeshi langu limeshaanza kazi tayari.