Uchaguzi umemalizika Igunga na matokeo ndio hayo. Mimi nashauri CDM ijiandae kwa ajili ya 2015. Naamini Igunga itakuwa kama ilivyokuwa Biharamulo. Maandalizi pia yafanyike kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwani ni sehemu muhimu ya kuelekea 2015. Nawasilisha wana jf.