Chadema msifikiri CCM wamefurahi

Jibaba Bonge

JF-Expert Member
May 6, 2008
1,246
401
Napenda kutoa changamoto kwa Chadema na wapenda mabadiliko halisi kwamba msifikiri kwa kupata wabunge 23 wa kuchaguliwa na 25 wa viti maalum ccm wamefurahi au wanaona ni sawa tu, yaani hawajafurahi wala hawajachukia. Mtakuwa mnafanya kosa kubwa sana.


Kwa sasa mkae mkijua kuwa mnao maadui, si maadui wa kawaida wa kisiasa ambao uadui ni kushindana katika medani za kisiasa bali ni maadui wa kutaka kuangamiza Chama kabisa ili ikiwezekana kife kabisa kuondoa ushindani.

Ninasema ccm hajafurahi kwa sababu ndicho chama kilichoathirika kwa 100% na mafanikio ya Chadema. Kutoka wabunge 5 mpaka 23 wa kuchaguliwa na kutoka wabunge 6 mpaka 25 wa viti maalum siyo pigo dogo kwa CCM. Idadi ya wabunge walioongezeka kwa Chadema ndiyo idadi iliyopungua kwa CCM ukiachilia mbali majimbo mane yaliyokwenda CUF; la Lindi mjini na yale ya Unguja.
Kwa mtazamo huu, CCM, in simple terms, itaathirika kwa
1. Kupungua kwa ruzuku,
2. Kupata challenges nyingi wakati wa kupitishwa miswada bungeni hasa ukizingatia ‘mix’ ya wabunge wa Chadema,
3. Kupungua kwa halmashauri inazoziongoza,
4. Chadema kuongeza nguvu mikoani na kuwa na model classes nyingi (ongezeko la halmashauri inazoziongoza) na kama itaziongoza vizuri ni threat kwa CCM uchaguzi wa 2015
5. Chadema kuongeza nguvu kifedha – ongezeko la ruzuku hivyo kuwa na uwezo wa kujijenga na kuwa na mtandao mpana zaidi, another threat.


Katika hali hii chadema isitarajie kipindi hiki cha miaka 5 kitakuwa smooth hata kidogo. Upo uwezekano wa maadui kukivuruga kwa kutumia mbinu mbalimbali za kukihujumu kwa mfano; kuwagombanisha viongozi, kuingiza mamluki ndani ya chama, kutumia fedha ili kuwanunua baadhi ya viongozi au wanachama, inawezekana pia hata kutumia government agents kwa namna moja ama nyingine.



Kutokana na hayo ninaishauri Chadema wawe macho sana hasa katika kipindi hiki. Siri za chama ziendelee kuwa sirini, watu wote wasiwe wasemaji wa chama, viongozi wajitahidi sana kuwa wamoja na wanie mamoja, wasiruhusu mambo wanayotofautiana yakawa open kwa public na tofauti za viongozi zikawa open publicly kama ilivyotokea kwa Zito kuelezea yaliyotokea kwenye kikao cha wabunge wa Chadema kuhusu kutoka nje ya Bunge ama la wakati raisi akilifungua rasmi. Katika kikao hicho kulikuwa na differencies lakini mwishowe msimamo wa pamoja ulifikiwa kwa majority votes. Msimamo huo ndiyo unaotakiwa kujulikana kwenye public siyo zile differencies zilizokuwepo na nani na nani walipinga ama walikubali.


Chadema mmeanza vizuri endeleeni vizuri. Umoja wa kweli na mshikamano wa kweli ndiyo silaha sahihi na kila mmoja awe mlinzi wa mwenzake. Maslahi ya Taifa yawe mbele ya maslahi binafsi. Katika kila mnayoyaamua au kufanya waangalieni wananchi na umaskini wao ambao hawakujitakia kuwa nao.





Hakuna source ni maoni yangu.
 
CCM wamefurahi kwa kitendo chao cha kuunda serikali kwa kura chakachua. Ni tambara bovu. Subiri uone uteuzi wa wabunge na mawaziri. kichefuchefu tupu!!
 
Napenda kutoa changamoto kwa Chadema na wapenda mabadiliko halisi kwamba msifikiri kwa kupata wabunge 23 wa kuchaguliwa na 25 wa viti maalum ccm wamefurahi au wanaona ni sawa tu, yaani hawajafurahi wala hawajachukia. Mtakuwa mnafanya kosa kubwa sana.


Kwa sasa mkae mkijua kuwa mnao maadui, si maadui wa kawaida wa kisiasa ambao uadui ni kushindana katika medani za kisiasa bali ni maadui wa kutaka kuangamiza Chama kabisa ili ikiwezekana kife kabisa kuondoa ushindani.

Ninasema ccm hajafurahi kwa sababu ndicho chama kilichoathirika kwa 100% na mafanikio ya Chadema. Kutoka wabunge 5 mpaka 23 wa kuchaguliwa na kutoka wabunge 6 mpaka 25 wa viti maalum siyo pigo dogo kwa CCM. Idadi ya wabunge walioongezeka kwa Chadema ndiyo idadi iliyopungua kwa CCM ukiachilia mbali majimbo mane yaliyokwenda CUF; la Lindi mjini na yale ya Unguja.
Kwa mtazamo huu, CCM, in simple terms, itaathirika kwa
1. Kupungua kwa ruzuku,
2. Kupata challenges nyingi wakati wa kupitishwa miswada bungeni hasa ukizingatia ‘mix’ ya wabunge wa Chadema,
3. Kupungua kwa halmashauri inazoziongoza,
4. Chadema kuongeza nguvu mikoani na kuwa na model classes nyingi (ongezeko la halmashauri inazoziongoza) na kama itaziongoza vizuri ni threat kwa CCM uchaguzi wa 2015
5. Chadema kuongeza nguvu kifedha – ongezeko la ruzuku hivyo kuwa na uwezo wa kujijenga na kuwa na mtandao mpana zaidi, another threat.


Katika hali hii chadema isitarajie kipindi hiki cha miaka 5 kitakuwa smooth hata kidogo. Upo uwezekano wa maadui kukivuruga kwa kutumia mbinu mbalimbali za kukihujumu kwa mfano; kuwagombanisha viongozi, kuingiza mamluki ndani ya chama, kutumia fedha ili kuwanunua baadhi ya viongozi au wanachama, inawezekana pia hata kutumia government agents kwa namna moja ama nyingine.



Kutokana na hayo ninaishauri Chadema wawe macho sana hasa katika kipindi hiki. Siri za chama ziendelee kuwa sirini, watu wote wasiwe wasemaji wa chama, viongozi wajitahidi sana kuwa wamoja na wanie mamoja, wasiruhusu mambo wanayotofautiana yakawa open kwa public na tofauti za viongozi zikawa open publicly kama ilivyotokea kwa Zito kuelezea yaliyotokea kwenye kikao cha wabunge wa Chadema kuhusu kutoka nje ya Bunge ama la wakati raisi akilifungua rasmi. Katika kikao hicho kulikuwa na differencies lakini mwishowe msimamo wa pamoja ulifikiwa kwa majority votes. Msimamo huo ndiyo unaotakiwa kujulikana kwenye public siyo zile differencies zilizokuwepo na nani na nani walipinga ama walikubali.


Chadema mmeanza vizuri endeleeni vizuri. Umoja wa kweli na mshikamano wa kweli ndiyo silaha sahihi na kila mmoja awe mlinzi wa mwenzake. Maslahi ya Taifa yawe mbele ya maslahi binafsi. Katika kila mnayoyaamua au kufanya waangalieni wananchi na umaskini wao ambao hawakujitakia kuwa nao.





Hakuna source ni maoni yangu.

Ndg yangu Jibaba Bonge, ushauri wako ni bomba saana.Nawaomba wana CHADEMA hasa viongozi zidisha ushirikiano, kama mnataka kuchukua dola 2015. Tafadhari siri za mikakati yenu na vikao zisitoke nje. Na wewe Ndg Mhs Zito Kabwe ujue kila unalo tamka Watanzania wanafuatilia kweli kweli maana wewe na wenzako ni dira na kioo cha opposition.
Kumbuka CHADEMA imetoka mbali from five MP's to twenty three elected MP's, kwa hiyo usifanye mchezo. Maendeleo ya CHADEMA hayafurahishi kila mtu, especialy wapinzani wa kisiasa SISIEM ambao tunajua kabisa ni mafisadi.These guys will grab any oppotunity to disorganise the party. Angalia mfano wa NCCRMageuzi na TLP. Kwa hiyo kila mnalo ongea au kufanya mnafuatiliwa. Tafadhari badilikeni kwa maslahi ya chama chenu na nchi ya Tanzania kwa ujumla.

Coming together is a begining. Keeping together is progress.Working together is success. Henry Ford.
 
Ndg yangu Jibaba Bonge, ushauri wako ni bomba saana.Nawaomba wana CHADEMA hasa viongozi zidisha ushirikiano, kama mnataka kuchukua dola 2015. Tafadhari siri za mikakati yenu na vikao zisitoke nje. Na wewe Ndg Mhs Zito Kabwe ujue kila unalo tamka Watanzania wanafuatilia kweli kweli maana wewe na wenzako ni dira na kioo cha opposition.
Kumbuka CHADEMA imetoka mbali from five MP's to twenty three elected MP's, kwa hiyo usifanye mchezo. Maendeleo ya CHADEMA hayafurahishi kila mtu, especialy wapinzani wa kisiasa SISIEM ambao tunajua kabisa ni mafisadi.These guys will grab any oppotunity to disorganise the party. Angalia mfano wa NCCRMageuzi na TLP. Kwa hiyo kila mnalo ongea au kufanya mnafuatiliwa. Tafadhari badilikeni kwa maslahi ya chama chenu na nchi ya Tanzania kwa ujumla.

Coming together is a begining. Keeping together is progress.Working together is success. Henry Ford.

Mtumishi Wetu,
Umesomeka vizuri sana.

CHADEMA====SOLIDARITY FOREVER IS THE KEY TO PROSPERITY
 
Ni ushauri mzuri. CCM si wema hata kidogo. Enzi za Mkapa mngeona matukio mengi yanayovuka misingi ya usawa wa haki za binadamu. kamatakamata tia ndani. piga huyu, ua yule yangetarajiwa huko tuendako. Angalau afadhali Kikwete. nionavyo mimi kwake yeye upinzani sio uadui bali ushiriki wenza. Pia ningeshauri Chadema msimtibue sana JK ili asije akabadilika. if someone is upset then he act arrogantly.
but all in all be aware with CCM.
 
Jamani siku zote ninazosoma mijadala humu JF leo ndiyo mmeniacha hoi.

Yaani kuna wana CHADEMA wanafikiri kwamba CHADEMA inaweza kuchukua dola 2015. I'm real dying by laughing! Kwa tume hii tuliyonayo NEC na kwa sheria hizi tulizonazo (Kutohoji matokeo ya urais mahali popote pale). Hata CHADEMA ipate kura 20,000,000 na CCM ipate kura 10,000 (Za mafisadi na ndugu zao) Mgombea wa CCM ndiye atatangazwa kuwa Rais wa JMT. Jamani tuwe realistic tuache UTOPIA
 
Jamani siku zote ninazosoma mijadala humu JF leo ndiyo mmeniacha hoi.

Yaani kuna wana CHADEMA wanafikiri kwamba CHADEMA inaweza kuchukua dola 2015. I'm real dying by laughing! Kwa tume hii tuliyonayo NEC na kwa sheria hizi tulizonazo (Kutohoji matokeo ya urais mahali popote pale). Hata CHADEMA ipate kura 20,000,000 na CCM ipate kura 10,000 (Za mafisadi na ndugu zao) Mgombea wa CCM ndiye atatangazwa kuwa Rais wa JMT. Jamani tuwe realistic tuache UTOPIA

tru dat, no homo! i co-sign
 
I think jibaba you talked sense hawa jamaa waliozoea status quo wameshangaa na watakuja na mbinu nyingi ikiwa ni pamoja na kutumia usalama wa taifa au USALAMA WA CCM kukivuruga chama. But we are aware of all that.
 
JIBABA UMETOA TAHADHALI NZURI AMBAYO MIMI NAAMINI KWA VIONGOZI WA CHADEMA WENYE SHULE KAMILI NA SIO zA KICHINI CCM WALISHALIJUA HILO ZAMANI........NNA UHAKIKA ANAEWAFANYA KICHWA KIUME NI ZITO MAANA ANA WATU WENGI NA KESHAANZA KUCHAKACHULIWA..........

NAOMBA NINUKUU GAZETI LA MAJIRA LA LEO(TAREH 22/11/2010) YENYE KICHWA CHA HABARI......ZITTO AELEZA ALIVYOTOFAUTIANA NA WENZAKE.......AMEONGEA PUMBA NYINGI KAKA YENU NYINGINE MKAJISOMEE..." akihojiwa na kituo cha TbC1,Bw Kabwe alisema yeye asingeweza kuingia bungeni na kutoka wakati rais Kikwete ambaye ni Amiri Jeshi mkuu,na ambaye amefanya mambo mengi mkoani kigoma kuliko marais wengine anahutubia"

Kwa uwezo wa zito ulivyokuwa mkubwa hakuwa wa kuongea maneno anayoyaongea sasa na wala hakuwa na IQ ndogo kiasi cha kutoelewa wenzake wanataka kufanya nn kwa manufaa ya chama huku kukiwa na wanasheria(tindu lissu na wengine) ambao wameshakutoa hofu ya kwamba hautahukumiwa na sheria kwa utakachofanya na ivyo mkate uko paleplae...
Sio maneno haya ndio yanayonifanya niwaambie mh zitto sio wetu tena na tuwe makini nae......kuna mfululizo wa mengi kayafanya na kama utaacha ushabiki taratibu utaanza kupata picha ya ninachokiongea........kama hautanielewa sasa utanielewa mbeleni
Tuwe makini na tutazamane sisi kwa sisi kwan hela mwanaharamu na ina uwezo wa kukununua ata wewe unayesoma hapa......sio kosa la zito ila system ya kifisaidi ambayo mh slaa anataka kuiondosha atakapoingia ili tuwe kama china au japan....kunyongana tu ukila au kutoa rushwa!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom