Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,131
- 16,195
anaweza akawa ni CCM huyokweli wewe siyo muungwana!!! waungwana hutenda yaliyo mema na kuwasitiri wafu katika nyumba zao za milele ni jambo jema.
kweli wewe siyo muungwana!!! waungwana hutenda yaliyo mema na kuwasitiri wafu katika nyumba zao za milele ni jambo jema.
Kabla ya kupigwa risasi marehemu alitoa ishara ya V, we ulikuwepo?anaweza akawa ni CCM huyo
Nami ntashiriki nikipewa ratiba mapema, ofcoz Ally amekuwa shujaa wa mabadiliko mkoan Morogoro, napendekeza hilo tamko litolewe na mnafiki Zitto, ama yeye haguswi? ama ndio kutoikosoa serikali ya JK? anajitega vijana wanakufa?
Nadhani CDM na wapenzi wake ilitakiwa kufikiria kwa kina ili kubaini wakati mwafaka wa kuendelea na Kampeni zake za M4C. Sikutarajia viongozi wake wangeshindwa kufanya tafakuri ya kina na kutambua kuwa Wakati taifa lipo katika wiki ya sensa, hakuna tija kwa chama wala umma kufanya maandamano na mikutano aina hiyo, wakijua wazi kuwa hao wanaotaka kuwahutubia walitakiwa wawe majumbani wakisubiri kuhesabiwa! Kwa kibri hicho imejivunjia heshma na kufifisha mvuto kwa jamii!Kwa wale wote mnaoweza kuufikisha ujumbe huu kwa Katibu Mkuu Mh DR. SLAA, kulingana na tukio la jana mjini hapa, kuna propaganda nzito sana ilikuwa inajengwa na makada viongozi na wabunge wa CCM hapa mkoani kwa nyakati tofauti wakinyatia kuona kama ushiriki wa CHADEMA kwenye msiba wa marehemu kamanda ALLY ZONA, aliyepigwa risasi na polisi waliokuwa wanazuia maandamano ya amani jana litachukuliwa uzito kama lile la ARUSHA, ama hawa watapewa mtu wa uwakilishi kwa ajili ya chama kujitoa lawama?
Cha msingi hapa na ushauri wangu kama mpenda mabadiliko ni kutowapa nafasi hawa mashetani wa kijani wauwaji kujenga hoja yoyote ya kupumbaza watu.
1. VIONGOZI WA CHADEMA WASHIRIKI KIKAMILIFU AKIWEMO KATIBU MKUU
2. TAMKO ZITO LA KUTOENDELEA KUVUMILIA MAUAJI LITOLEWE
3. IFIKE SEHEMU POLISI WAOMBWE MAJIBU YA SABABU ZA KUUA WANANCHI BILA SABABU
TUANZIE HAPA MOROGORO
AHSANTENI
Tuko tayari kushirikiana na familia ya kijana huyo kwa ajili ya taratibu zote za mazishi. Tutamzika kishujaa kwa kuwa alikufa akikipigania chama, alisema Dk Slaa.
Aliwataka wananchi kuonyesha uchungu kwa kifo cha mfuasi huyo kwa kutupa kadi za CCM na kuchukua za chama hicho cha upinzani.
Dr Slaa alikuwa anapigana? Sio kuwa ni mpita njia?. Tutamzika kishujaa kwa kuwa alikufa akikipigania chama, alisema Dk Slaa.
Acha utoto, sensa haizuii shughuli yeyote!
Unaacha taarifa nyumbani unakwenda kwenye shughuli zako!
SENSA KWA MAENDELEO
JIANDAE KUHESABIWA