USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
Kwa wale wote mnaoweza kuufikisha ujumbe huu kwa Katibu Mkuu Mh DR. SLAA, kulingana na tukio la jana mjini hapa, kuna propaganda nzito sana ilikuwa inajengwa na makada viongozi na wabunge wa CCM hapa mkoani kwa nyakati tofauti wakinyatia kuona kama ushiriki wa CHADEMA kwenye msiba wa marehemu kamanda ALLY ZONA, aliyepigwa risasi na polisi waliokuwa wanazuia maandamano ya amani jana litachukuliwa uzito kama lile la ARUSHA, ama hawa watapewa mtu wa uwakilishi kwa ajili ya chama kujitoa lawama?
Cha msingi hapa na ushauri wangu kama mpenda mabadiliko ni kutowapa nafasi hawa mashetani wa kijani wauwaji kujenga hoja yoyote ya kupumbaza watu.
1. VIONGOZI WA CHADEMA WASHIRIKI KIKAMILIFU AKIWEMO KATIBU MKUU
2. TAMKO ZITO LA KUTOENDELEA KUVUMILIA MAUAJI LITOLEWE
3. IFIKE SEHEMU POLISI WAOMBWE MAJIBU YA SABABU ZA KUUA WANANCHI BILA SABABU
TUANZIE HAPA MOROGORO
AHSANTENI
Cha msingi hapa na ushauri wangu kama mpenda mabadiliko ni kutowapa nafasi hawa mashetani wa kijani wauwaji kujenga hoja yoyote ya kupumbaza watu.
1. VIONGOZI WA CHADEMA WASHIRIKI KIKAMILIFU AKIWEMO KATIBU MKUU
2. TAMKO ZITO LA KUTOENDELEA KUVUMILIA MAUAJI LITOLEWE
3. IFIKE SEHEMU POLISI WAOMBWE MAJIBU YA SABABU ZA KUUA WANANCHI BILA SABABU
TUANZIE HAPA MOROGORO
AHSANTENI