2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,358
- 6,059
Japo Kuna weza kuwepo hofu ya kusalitiana ndani ya CdM hasa baada ya kuhama binadamu aliyewahamisha wana CCM wengi zaidi Katika Historia ya Tanzania akatimka nao kwenda upinzani.
Hofu yangu, Lowasa haondokagi peke yake, anaweza kuondoka na mwenyekiti wangu FREEMAN MBOWE na kuzua taharuki isiyokifani. Maana naskia Mheshimiwa Mbowe ameshaachiwa kwa dhamana.
Hata hivyo, najua Hofu ya namna hii haiwaachi salama walio ndani yaCCM na vyama vingine kwa ujio wa wanachama wapya.
"Msifadhaike Enyi Kundi Dogo, cDM haijadhohofu. Ni upepo tu.
In Fwakti, Zipo Taasisi na makundi Dhaifu kuliko hata CDM, nayo Ni Bunge, Mahakama, TLS, ACT mzalendo, CUF, Bodi ya koroshow, BOT, Media, Katiba. ATCL, SHILINGI ya Tanzania Dhidi ya Dola.
lakini pamoja na kudhohofu kwao Bado wanajipa Moyo kua wapo vizuri sana.
Hofu yangu, Lowasa haondokagi peke yake, anaweza kuondoka na mwenyekiti wangu FREEMAN MBOWE na kuzua taharuki isiyokifani. Maana naskia Mheshimiwa Mbowe ameshaachiwa kwa dhamana.
Hata hivyo, najua Hofu ya namna hii haiwaachi salama walio ndani yaCCM na vyama vingine kwa ujio wa wanachama wapya.
"Msifadhaike Enyi Kundi Dogo, cDM haijadhohofu. Ni upepo tu.
In Fwakti, Zipo Taasisi na makundi Dhaifu kuliko hata CDM, nayo Ni Bunge, Mahakama, TLS, ACT mzalendo, CUF, Bodi ya koroshow, BOT, Media, Katiba. ATCL, SHILINGI ya Tanzania Dhidi ya Dola.
lakini pamoja na kudhohofu kwao Bado wanajipa Moyo kua wapo vizuri sana.