Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Sisi Watanzania ndiyo tunaiichagua CCM, ndiyo tunayoipa madaraka makubwa ya kutuongoza kwa kuipa Wabunge wengi, hivyo chuki yenu ielekezeeni kwetu, hakuna kosa CCM ililofanya imetuomba kura tu tumeipa hivyo kama ni chuki tuchukieni sisi kwa kutowaamini, ...