MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Kiongozi wa chama cha Upinzania nchini Kenya Raila Odinga amerejea leo nchini humo akitokea Marekani. Raila amepokelewa na wafuasi wake wengi kuanzia uwanja wa ndege hadi barabarani.
Wafuasi awa NASA wakiwa barabarani kwenye maandamano ya kumpokea Raila Odinga
Wafusi wa NASA wakiwa uwanja wa ndege wakimpokea Raila Odinga
========================
Hali si shwari kwenye mapokezi ya Odinga nchini Kenya, angalieni matangazo mubashara ya citizen mabomu na risasi zinarindima
Maandamano ya watu wengi yalikuwa barabara ya Mombasa wakaelekea mpaka barabara ya Likoni inayounganisha barabara ya Mombasa na ile ya Jogoo. Baadae wakaelekea katika soko la Mudhurua.
Baadae wakaingia Jijini Nairobi na kutoka ila juhudi zao za kufika katika bustan ya Uhuru ziligonga mwamba baada ya kudhibitiwa na maafisa wa Polisi wa kutuliza ghasia kwa kuwarushia mabomu ya Machozi
Kumekuwa na taarifa kuwa baadhi wamepigwa risasi na hata gari la Polisi kutiwa moto.
Kwa sasa wanaelekea maeneo ya Kangemi ambapo kutakuwa na mkutano wa hadhara
Wafuasi awa NASA wakiwa barabarani kwenye maandamano ya kumpokea Raila Odinga
Wafusi wa NASA wakiwa uwanja wa ndege wakimpokea Raila Odinga
========================
Hali si shwari kwenye mapokezi ya Odinga nchini Kenya, angalieni matangazo mubashara ya citizen mabomu na risasi zinarindima
Maandamano ya watu wengi yalikuwa barabara ya Mombasa wakaelekea mpaka barabara ya Likoni inayounganisha barabara ya Mombasa na ile ya Jogoo. Baadae wakaelekea katika soko la Mudhurua.
Baadae wakaingia Jijini Nairobi na kutoka ila juhudi zao za kufika katika bustan ya Uhuru ziligonga mwamba baada ya kudhibitiwa na maafisa wa Polisi wa kutuliza ghasia kwa kuwarushia mabomu ya Machozi
Kumekuwa na taarifa kuwa baadhi wamepigwa risasi na hata gari la Polisi kutiwa moto.
Kwa sasa wanaelekea maeneo ya Kangemi ambapo kutakuwa na mkutano wa hadhara