MPANDA Jr
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,295
- 157
Maelfu ya Wananchi wa Morogoro waliojitokeza kumzika msanii Albert Mangwer jana walijikuta wakishindwa kujizuia kuonesha mapenzi yao kwa CHADEMA kwa kulipuka kwa shangwe pale gari ya viongozi hao ilipoingia uwanja wa Jamhuri ikiwa inapeperusha bendera ya chama hicho. Maelfu hayo yalilipuka na kuonyesha alama ya V ya vidole inayotumiwa na chama hicho kikuu cha upinzani chenye viongoz mahiri katika ujenzi wa hoja. Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera alibaki mdomo wazi kwa tukio hilo. Nawasilisha.
cc Ritz Chama Sumu MAFILILI
cc Ritz Chama Sumu MAFILILI