mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 482
- 294
Yaan mbunge hlf mwenyekiti hii ndo nn? Ebu badilikeni bhas kwan naamin CHADEMA ina wanachama wengi tu wenye IQ kubwa!
Sababu za Rais kuwa mwenyekiti Wa CCM zipo nyingi lakini hizi chache zitasaidia kufungua uelewa wako:Mi pia huwa inanitatiza mwenyekiti wa chama lazima awe rais ivi ccm hakuna wengine wa kushika uenyekiti?
Kwan we hujaona walivyopokezana kijiti ebu kuwa na kumbukumbu bhas usijisahaulishe nduguMi pia huwa inanitatiza mwenyekiti wa chama lazima awe rais ivi ccm hakuna wengine wa kushika uenyekiti?
Sasa utamaduni wenu ndio unakuwa utamaduni wa wote,? Kila timu ishinde game zake!
Sababu za Rais kuwa mwenyekiti Wa CCM zipo nyingi lakini hizi chache zitasaidia kufungua uelewa wako:
1. Ni maamuzi ya mkutano mkuu na wajumbe Wa mkutano mkuu Wana haki ya kumpigia kura ya HAPANA na kura zisipotosha ,kikanuni atakuwa amekosa sifa ya kugombea kabisa.
2.ni utamaduni mzuri na wenye manufaa kwa sababu hauvunji katiba ya chama wala katiba ya nchi. Utamaduni huu umeonesha Rais anakuwa mtendaji mzuri zaidi anapokuwa mwenyekiti kwa sababu utekelezaji Wa ilani unamuhitaji kusimamia.
3.wanaofaa kugombea uenyekiti Wa CCM wapo wengi na wenye uwezo pia ni wengi lakini utamaduni na utaratibu uliopo unapendwa na kuheshimiwa na wanachama wote Wa CCM.
CHADEMA inawatesa sana, akili za Lumumbas ni shira sana kwakweli.Yaan mbunge hlf mwenyekiti hii ndo nn? Ebu badilikeni bhas kwan naamin CHADEMA ina wanachama wengi tu wenye IQ kubwa!
Yaan chama chenu kina jikanyaga au wanaimba wimbo wasio ujua kwa dunia ya leoCHADEMA inawatesa sana, akili za Lumumbas ni shira sana kwakweli.