William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
- Thread starter
- #61
Swala sio kuwaweka pembeni. Nachopinga NI wao kuutawala na kuufanya ajenda binafsi za kisiasa tu. Katiba lazma liwe Jambo la kitaifa.Katiba Ni waraka wa kisiasa, pia katiba Ni waraka wa kisheria.Unawezaje kuwaweka wanasiasa pembeni..