Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
Kama CHADEMA mmeanza hivi sasa hivi tu je mtaweza mkipewa nchi?
Tunataka maandamano ya nchi nzima kumtaka Ngeleja ajiuluzulu! Tumechoka kabisaaaaaaaaaaaaaa na mgao na huu sio mgao ni wizi tuuuuuuuuuuuuu! Tunataka tuandamane kwa nguvu zote! Kumbukeni maandamano yenu huwa yanatekelezwa haraka iwezekanavyo
Nawapenda
Tunataka maandamano ya nchi nzima kumtaka Ngeleja ajiuluzulu! Tumechoka kabisaaaaaaaaaaaaaa na mgao na huu sio mgao ni wizi tuuuuuuuuuuuuu! Tunataka tuandamane kwa nguvu zote! Kumbukeni maandamano yenu huwa yanatekelezwa haraka iwezekanavyo
Nawapenda