CDM tangu watafune michango ya Lissu na faini za akina Mbowe wamenogewa sana na michango! Sasa hivi hata mtoto wa Mnyika akiumwa wanachangisha akatibiwe! Juzi hapa Lema kaanzisha michango hili azunguke duniani kumchafua Samia, hivi na hii Covid nchi gani itakuruhusu uingie kibwegebwege kuongea utopolo wako?
Mimi nafikiri CDM tuwape moyo na mawazo ya kujenga tusi wa vuruge wanayopitia kutoka wa serikali yenu ni mazito sana hata hapa wanefikia bado nawapa thumb up.. sometimes wanaloose kutokana pressure inayowajia in shaa Allah nawaombea kheri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.