CHADEMA mnapinga tozo kisha mnaomba michango yenu ipitie kwenye tozo

... mchango VS tozo! Mchango ni hiari tozo ni lazima upende, usipende! The difference is very clear!
 
CDM tangu watafune michango ya Lissu na faini za akina Mbowe wamenogewa sana na michango! Sasa hivi hata mtoto wa Mnyika akiumwa wanachangisha akatibiwe! Juzi hapa Lema kaanzisha michango hili azunguke duniani kumchafua Samia, hivi na hii Covid nchi gani itakuruhusu uingie kibwegebwege kuongea utopolo wako?
 
Majibu mepesi sana Yaani michango iende kwenye akaunti binafsi ya mtu ?
Aaagh huwa sikurupuki kujibu, nimefanya kazi kidogo na majibu yako haya hapa. Shukrani

Screenshot_20210812-125002.png


Screenshot_20210812-124120.png


Screenshot_20210812-124942.png
 
Mimi nafikiri CDM tuwape moyo na mawazo ya kujenga tusi wa vuruge wanayopitia kutoka wa serikali yenu ni mazito sana hata hapa wanefikia bado nawapa thumb up.. sometimes wanaloose kutokana pressure inayowajia in shaa Allah nawaombea kheri
 
Back
Top Bottom