Nakuona unahangaika sana sijui kama itakufikisha wapi wapi. Usimlaumu Wenje wala upinzani mlaumu aliyeanzisha hili sakata. Kuwekwa au kutowekwa mtandaoni sio hoja ya msingi, mangapi yaliyo ya msingi hujahoji kama kufungwa kwa tovuti ya tume ya mabadiliko ya Katiba.Mkuu, Wenje kawaaibisha sana UKAWA. Mpaka wanaona aibu kuiweka mtandaoni
Kwa akili yako nani kaanzisha hili sakata?Nakuona unahangaika sana sijui kama itakufikisha wapi wapi. Usimlaumu Wenje wala upinzani mlaumu aliyeanzisha hili sakata. Kuwekwa au kutowekwa mtandaoni sio hoja ya msingi, mangapi yaliyo ya msingi hujahoji kama kufungwa kwa tovuti ya tume ya mabadiliko ya Katiba.
Kwa short sighted kama wewe wanafikiri Wenje ndiye aliyeanzisha.Kwa akili yako nani kaanzisha hili sakata?
..mimi naipenda CDM lakini nimekerwa sana na hii hotuba ya Wenje.
..I am very sorry to say this, but IMHO Mh.Wenje ameiaibisha kambi ya upinzani.
..inakera kwasababu naamini ndani ya CDM kuna watu wenye uelewa kuhusu siasa za kimataifa and particularly mgogoro wa DRC, lakini kwa quality ya hotuba ile nina uhakika watu hao hawakushirikishwa ktk kuiandaa hotuba ile.
..ninaamini wangeshirikishwa Prof.Mwesiga Baregu, na Prof.Abdalah Safari, kambi ya upinzani isingetoa hotuba mbovu kama hii aliyotoa Wenje.
cc Lizaboni, Jasusi, Nguruvi3, Ben Saanane, Tumaini Makene