Siasa ni elimu, maarifa na ujuzi ambao hutoa msimamo na msingi wa jamii. Kila jamii huwajibika kufuata misingi iliyowekwa katika maisha ya kila siku. Propaganda sio msingi wa kutambua matatizo yetu katika dunia ya sasa.Wakati wenzetu wanahuhiri mipango sisi tunahubiri propaganda...Huu ni upuuzi.....CDM wasifanye utahira huu...lazima waeleze uhalisia wa maisha duni ya Watanzania na kutoa majawabu sahihi kuelekea mabadiliko ya kweliJk amesema kweli, kitengo cha propaganda kikipwaya chama kinapwaya. tumekuwa tunasema hapa chadema lazima kuanzisha tv, radio na gazeti kwa ajili ya propaganda. sijui kwanini hamlioni hili?
Siasa ni elimu, maarifa na ujuzi ambao hutoa msimamo na msingi wa jamii. Kila jamii huwajibika kufuata misingi iliyowekwa katika maisha ya kila siku. Propaganda sio msingi wa kutambua matatizo yetu katika dunia ya sasa.Wakati wenzetu wanahuhiri mipango sisi tunahubiri propaganda...Huu ni upuuzi.....CDM wasifanye utahira huu...lazima waeleze uhalisia wa maisha duni ya Watanzania na kutoa majawabu sahihi kuelekea mabadiliko ya kweli
Jk amesema kweli, kitengo cha propaganda kikipwaya chama kinapwaya. tumekuwa tunasema hapa chadema lazima kuanzisha tv, radio na gazeti kwa ajili ya propaganda. sijui kwanini hamlioni hili?
Propaganda mnzazifanya humu JF si ndogo, kumbe kuna mambo 23 yaliongelewa nyie magwanda mnakazania moja tu "gamba". Duh, inabidi niyatafue hayo ishirini na tatu, leo mwenyekiti katufunguwa masikio wengi sana.
Sikutegemea kuwa magwanda na nyie mnamsikiliza! sasa leo mmemsikiliza kama Mwenyekiti. Slaa hakualikwa basdei Kirumba? au kaingia mitini kama kawa!
Very Very Right Mkuu! propaganda zimepitwa na wakati! Kwa ufisadi ule wa CCM hata Obama akipewa hicho kitengo tutamwelewa? Wafanyieni kazi wananchi bila unafiki na maslahi ya Taifa mbele na si Chama! Ndio maana juzi mmepitisha mswada wa katiba kihuni kuwakomoa CDM mkasahau kuujadili na kuuchambua mkaishia kumtukana Tindu Lissu matusi kibao! Sikusikia Mbunge wa CCM walau akikosoa chochote! Sasa Chadema wamemuelewesha Mh Rais mpaka kimeeleweka mnasusa! Hizo akili matope? Mnasusa kukimbia aibu au mnasusa hayo marekebisho si ya msingi? Kwa hoja gani? Mbunge wa CCM akiwekewa hapo Mbwa aliyevikwa bendera ya CCM na binadamu akaambiwa achague wa kupiga risasi atamtwanga binadamu kwa maslahi ya chama wallahi!!!!Mkuu miaka hii unaongelea propaganda ?Watanzania wa sasa wanautaka ukweli na si propanda .Unaona hata CCM wabungewanagoma ni propaganda hizo walisha jifanya mbuni na sasa wanaona moto wake.Siasa ziwe kweli hakuna zaidi ya hapo.
Hujajibu swali, amealikwa au hajaalikwa? maana besdei bila kumualika jirani inakuwa si sawa, au unaonaje? ie sijui sana kuhusu besdei party kwa sababu sizifanyi na wala siendi nikialikwa, sioni mantiki yake.
Hujajibu swali, amealikwa au hajaalikwa? maana besdei bila kumualika jirani inakuwa si sawa, au unaonaje? ie sijui sana kuhusu besdei party kwa sababu sizifanyi na wala siendi nikialikwa, sioni mantiki yake.