Mimi sina chama ila nikiambiwa nichague chama ninakichopenda nitakitaja CDM,
kwanza ni kutokana sera zake nzuri zinazolenga kumkomboa mtanzania wa hali ya chini,
pili ni kutokana na kuwa na viongozi wenye uchungu na nchi yao kuanzia Mbowe,Dr Slaa,Zitto, na wabunge wote wa chadema. kosa kubwa ambalo linakitafuna chama ni kuanza kulumbana na kumuacha Kinana na Nape wakikata mbuga kusini na kuendelea kujenga chama chao, siasa anazofanya kinana madhara yake mtayaona mwaka 2015 .
kwanza ni kutokana sera zake nzuri zinazolenga kumkomboa mtanzania wa hali ya chini,
pili ni kutokana na kuwa na viongozi wenye uchungu na nchi yao kuanzia Mbowe,Dr Slaa,Zitto, na wabunge wote wa chadema. kosa kubwa ambalo linakitafuna chama ni kuanza kulumbana na kumuacha Kinana na Nape wakikata mbuga kusini na kuendelea kujenga chama chao, siasa anazofanya kinana madhara yake mtayaona mwaka 2015 .