CHADEMA mnachukua ruzuku ya nini wakati Wabunge 19 mmewafukuza?

Wanabodi.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.

Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.

Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Sasa Mkuu, CHADEMA tayari wamewatimua hawa covid-19, siyo wanachama wao. Kwa mujibu wa Katiba yetu, hao siyo wabunge tena. Kwaiyo. Mambo ya covid-19 usiwaulize CHADEMA!

Kwa mujibu wa taratibu za ruzuku, chama kinakokotolewa ruzuku kutokana na sifa mbalimbali ikiwemo idadi ya kura za urais na idadi ya wabunge, na sifa zingine. Tena hii ya idadi ya kura za urais ndiyo inabeba asilimia kubwa zaidi. CHADEMA ilipewa kura za urais asilimia 13. Nasema walizopewa, kwa kuwa kura zao kihalali zilikuwa nyingi zaidi.

CHADEMA tayari wametekeleza wanayohitajika kufanya kwa mujibu wa taratibu. Si jukumu la CHADEMA kuanza kujiuliza fedha wanayopata kutokana na covid-19 ni ngapi, kati ya sifa ambazo wanazo tayari.

Ni kama tu unawekewa mshahara mkubwa kuliko stahili zako. Wala huhitaji kuhangaika. Wenyewe watafanya makato na kurekebisha inavyotakiwa. Acheni kupotosha mambo
 
Kwahali ilivyo sasa hela ya ruzuku inaingizwa kwa nguvu kwenye akaunti ya chadema .nashauri wafuatilie kujuwa hiyo hela wamepewa kwa sababu zipi.
 
Hakuna walichochukua kaka, anyway baada ya kumsapoti dictator sasa umehamia huku.

Bi kizee hajambo? Kaadimika sana jukwaani
 
Wanabodi.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.

Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.

Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Acha uongo....then UMEFUNGA...AISEE,MUNGU ANA KAZI....
 
Una uhakika wameenda kwa msajili kuichikua hiyo cheki au msajili kawapelekea???? Tulete uthibitisho ya kusaini hayo makabidhiano. Sidhani kama wamechukua hiyo cheki.
Ruzuku wanaangalia idadi chama kilichoshinda kura za urais Kama umezid asilimia 5 unapewa acha uongo
 
Wanabodi.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.

Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.

Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Shughuli za saccos ni kukusanya pesa za wanachama wao!
 
1. Spika Job Ndugai amewalazimishia CHADEMA wabunge 19 wa VM...

2. Sasa Msajili naye anawalazimishia CHADEMA wachukue fedha inayoitwa "ruzuku"...

3. Na nyie wapiga matarumbeta mmezidaka taarifa hizo na sasa mnazifanyia propaganda...

4. THE FACT IS THIS: Pesa zinaweza kuwa zinaingia. Lakini utatumiaje pesa ambazo siyo zako hata kama zimeingia kwenye Bank Account yako..?
 
Wanabodi.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni za Ruzuku ambayo iliingizwa kwenye account za vyama Nov. 2020.

Mbowe, hili suala mbona kwenye hotuba yako haukulisema umekaa kimya nawashheshimu sana Chadema kwa misimamo yao wameenda mbali zaidi na kususia chaguzi zote mpaka kuwepo na Tume Huru.

Hii ruzuku mnayochukua kutokana na wakina Halima Mdee ni ya nini, wananchi wapenda haki wanataka kufahamu hili jambo.
Kwanza tuambie mini maana ya ruziku
 
1. Spika Job Ndugai amewalazimishia CHADEMA wabunge 19 wa VM...

2. Sasa Msajili naye anawalazimishia CHADEMA wachukue fedha inayoitwa "ruzuku"...

3. Na nyie wapiga matarumbeta mmezidaka taarifa hizo na sasa mnazifanyia propaganda...

4. THE FACT IS THIS: Pesa zinaweza kuwa zinaingia. Lakini utatumiaje pesa ambazo siyo zako hata kama zimeingia kwenye Bank Account yako..?
Hivi CHADEMA wakitumia pesa hiyo ya kulazimishwa itakuwa ni ishara ya kukubali uhalifu wa Ndugai?

Hili ni swali mkuu, siyo maoni!
 
Wakuulizwa ni serikali ya CCM. Kwa nini inatumia kodi za wananchi wanyonge kulipa chama kisicho na wabunge? Kwa nini isipeleke pesa hiyo kujenga zahanati au kununua madawa?

Umewasikia huko bungeni lakini wanavyojichanganya? Wanafundishana kufuta kauli....yaani hii nchi(soma CCM!) haiishi vituko!
 
Back
Top Bottom