Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,924
- 32,336
Wanaukumbi.
Je umeshawahi kujiuliza ni kwa nini CHADEMA hawajawahi kudai Katiba Mpya kipindi cha takribani miaka 6 ya Mhe. Jiwe Madarakani?
Rais, SuluhuSamia, yupo madarakani miezi 3 tu, chokochoko zimeanza!
Kitendo cha kupigania Tume Huru ya Uchaguzi wakati huo huo kupigania Katiba Mpya kumeanza kuwafanya wananchi wadhani kuwa mapambano halisi ya CHADEMA ni kupigania Tume Huru ya Uchaguzi ili waingie madarakani kwa kujifanya wanadai na Katiba Mpya ili kuzuga umma wa watanzania.
Kama ni hivyo kwa nini CHADEMA wamegawanya majukumu:
1. Bavicha Katiba Mpya
2. BAWACHA Tume Huru ya Uchaguzi
Kama bila Katiba Mpya hakuna Tume Huru Uchaguzi basi kwa sasa wadai Katiba tu, harakati za Tume Huru ya Uchaguzi zije wakishapata Katiba Mpya!
Je umeshawahi kujiuliza ni kwa nini CHADEMA hawajawahi kudai Katiba Mpya kipindi cha takribani miaka 6 ya Mhe. Jiwe Madarakani?
Rais, SuluhuSamia, yupo madarakani miezi 3 tu, chokochoko zimeanza!
Kitendo cha kupigania Tume Huru ya Uchaguzi wakati huo huo kupigania Katiba Mpya kumeanza kuwafanya wananchi wadhani kuwa mapambano halisi ya CHADEMA ni kupigania Tume Huru ya Uchaguzi ili waingie madarakani kwa kujifanya wanadai na Katiba Mpya ili kuzuga umma wa watanzania.
Kama ni hivyo kwa nini CHADEMA wamegawanya majukumu:
1. Bavicha Katiba Mpya
2. BAWACHA Tume Huru ya Uchaguzi
Kama bila Katiba Mpya hakuna Tume Huru Uchaguzi basi kwa sasa wadai Katiba tu, harakati za Tume Huru ya Uchaguzi zije wakishapata Katiba Mpya!