mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 482
- 294
CHADEMA hakuna Uhuru usio na mipaka, pia huwa najiuliza na kama hamtojali mnijibu IPI Imani katika mfumo wa uongozi Kwani binafsi naamini demokrasia ni mawazo meengi na Uhuru lakini nyie mnamuona Mbowe kama ndio kila kitu Ila madhara yake Ni mfumo wa serikali ya mtu mmoja na chama kimoja maana hamtaki mawazo mbadala au kupingwa kwa lile mnaloamini!
Ebu fikiria mbowe angekuwa ndo Rais halafu wanaomlamba km lissu au lema na weengi miongoni wenye mapenz ya kizandiki na uchu wa madaraka wangekuwa viongoz wa namna gani eeeh?
Siasa ni Imani hivyo lile tunalokuona nalo tunaamini ndo Imani yenu pindi mtakapochukua nchi Tena mnaweza mkawa wabaya kuliko hata VYAMA TAWALA VYA SASA, KUBWA LINDENI AMANI MAANA INA GHARAMA NDO MAANA MMEENDA KUITAFTA HUKOOO UGHAIBUNI.
Ebu fikiria mbowe angekuwa ndo Rais halafu wanaomlamba km lissu au lema na weengi miongoni wenye mapenz ya kizandiki na uchu wa madaraka wangekuwa viongoz wa namna gani eeeh?
Siasa ni Imani hivyo lile tunalokuona nalo tunaamini ndo Imani yenu pindi mtakapochukua nchi Tena mnaweza mkawa wabaya kuliko hata VYAMA TAWALA VYA SASA, KUBWA LINDENI AMANI MAANA INA GHARAMA NDO MAANA MMEENDA KUITAFTA HUKOOO UGHAIBUNI.