Kuna mahali nimepata quotation hii is a food for thought!
"official government's position on economic policies had clearly changed after the stepping down of Mwalimu Nyerere, a socialist and nationalist leader, who was ready and willing to stick to his guns to what he believed to the bitter end and the election of a moderate and a semi/non believer of socialist oriented policies."
Kutokana na hili CHADEMA mjifunze mambo mawili!
(i) Lazima muwe na itakadi clear na inayoeleweka kwa wananchi vizuri
(ii) Lazima kuwa na viongozi wanaoiamini itikadi hiyo na ambao watakuwa tayari kuitetea hadi mwisho hata kama itawagharimu.
Mkifika hapo hakutakuwa na migogoro ya uongozi maana kinachowaunganisha ni itakadi sahihi. Nafikiri inawapasa kufanyia kazi sana hilo la itakadi na mhakikishe viongozi wa juu wa chama wanaiamini ili wawashawishi wanachama pia waiamini. Kinachowagharibu CCM ni kwamba wameiacha itikadi yao na kupoteza mwelekeo. Leo huwezi kumkukuta kiongozi wa CCM anazungumzia itikadi maana haipo hivyo hakuna kinachowaunganisha zaidi ya madaraka. Ndio maana pia CCM ina hatari ya kufa baada ya kushindwa uchaguzi
"official government's position on economic policies had clearly changed after the stepping down of Mwalimu Nyerere, a socialist and nationalist leader, who was ready and willing to stick to his guns to what he believed to the bitter end and the election of a moderate and a semi/non believer of socialist oriented policies."
Kutokana na hili CHADEMA mjifunze mambo mawili!
(i) Lazima muwe na itakadi clear na inayoeleweka kwa wananchi vizuri
(ii) Lazima kuwa na viongozi wanaoiamini itikadi hiyo na ambao watakuwa tayari kuitetea hadi mwisho hata kama itawagharimu.
Mkifika hapo hakutakuwa na migogoro ya uongozi maana kinachowaunganisha ni itakadi sahihi. Nafikiri inawapasa kufanyia kazi sana hilo la itakadi na mhakikishe viongozi wa juu wa chama wanaiamini ili wawashawishi wanachama pia waiamini. Kinachowagharibu CCM ni kwamba wameiacha itikadi yao na kupoteza mwelekeo. Leo huwezi kumkukuta kiongozi wa CCM anazungumzia itikadi maana haipo hivyo hakuna kinachowaunganisha zaidi ya madaraka. Ndio maana pia CCM ina hatari ya kufa baada ya kushindwa uchaguzi