CHADEMA mmejitahidi sana, kama sio 2020 ipo siku mtaongoza nchi

Ndikwega

R I P
Feb 1, 2012
5,979
5,524
Nawapongeza saana CHADEMA kwa Juhudi zenu binafsi katika kutetea wananchi wanyonge wa Taifa hili Tanzania. Yoote haya tunayashuhudia sababu ni Juhudi zenu.

Mnapambana na Chama Kikongwe CCM, wenzenu wengi mliyoanza nao safari ya Ukombozi wa Kifikra pale 1992 walishajikatia tamaa na hakuna ndoto tena ya kushika dola.

Ninyi pamoja na kuwa na Rasilimali kidogo yaani Pesa na Vitega uchumi kulinganisha CCM ambao muda mwingine wanatumia hata rasilimali za serikali bado mmekaza na kudhihirisha hili kuwa mnaogopwa na CCM ndiyo maana vitisho haviishi juu yenu kila uchao kwa kutumia vyombo vya dola.

Jifunzeni kwa Wenzenu Afrika Kusini hakika wameiweza ANC hivyo hakuna kuvunjika moyo na Vitisho vya Watawala hawa wasiyoitakia mema nchi yetu.

Ninachowaomba Viongozi wa Chadema igeni mfano wa Lissu, katika swala la kusimamia Kweli. Katika Ukombozi wowote lazima pawe na maumivu, wachache wataumia kwa faida ya wengi!

Niwatakie mapambano mema, mkikaa kimya kwa udhalimu huu hakika mtakuwa hakuna haja ya kuitwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.

Mungu awatangulie katika Mapambano yenu ya kumsaidia Mnyonge wa Tanzania asiye na Sauti ili muwe Sauti yake.
 
chadema wameshapoteza fundamental grounds zake nataka kukwambia chadema ilikuwa bora zaid miaka mitano iliyopita kuliko ilivyo sasa hv chama chochote duniani ni lazima kiwe na mfumo wa siasa unazozifata ambazo ndio sera na dira yao katika majukwaa chadema ilijulikana kama chama cha kupinga rushwa ,wizi,ufisadi kitu ambacho kiliwapa kifua mbele na wananchi wakawahamini sana lakini nikikwambia sera za sasa hv za chadema ni nini unaweza kunambia????? sasa wametoka kuwa chama cha siasa mpaka kufanya harakati ktk taasisi yenye usajili wa chama cha siasa na sera za wanaharakati cku zote ni kupinga tu hata kama kinachofanywa ni kwa niamba yao wao upinga tu
 
Baada ya kupelekwa mahakamani hatimaye sijasikia kama ametoa tusi jingine...ameshajifunza
 
Nawapongeza saana CHADEMA kwa Juhudi zenu binafsi katika kutetea wananchi wanyonge wa Taifa hili Tanzania. Yoote haya tunayashuhudia sababu ni Juhudi zenu.

Mnapambana na Chama Kikongwe CCM, wenzenu wengi mliyoanza nao safari ya Ukombozi wa Kifikra pale 1992 walishajikatia tamaa na hakuna ndoto tena ya kushika dola.

Ninyi pamoja na kuwa na Rasilimali kidogo yaani Pesa na Vitega uchumi kulinganisha CCM ambao muda mwingine wanatumia hata rasilimali za serikali bado mmekaza na kudhihirisha hili kuwa mnaogopwa na CCM ndiyo maana vitisho haviishi juu yenu kila uchao kwa kutumia vyombo vya dola.

Jifunzeni kwa Wenzenu Afrika Kusini hakika wameiweza ANC hivyo hakuna kuvunjika moyo na Vitisho vya Watawala hawa wasiyoitakia mema nchi yetu.

Ninachowaomba Viongozi wa Chadema igeni mfano wa Lissu, katika swala la kusimamia Kweli. Katika Ukombozi wowote lazima pawe na maumivu, wachache wataumia kwa faida ya wengi!

Niwatakie mapambano mema, mkikaa kimya kwa udhalimu huu hakika mtakuwa hakuna haja ya kuitwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.

Mungu awatangulie katika Mapambano yenu ya kumsaidia Mnyonge wa Tanzania asiye na Sauti ili muwe Sauti yake.
Kama unampongeza Lissu kwa kupewa tu dhamana ya makesi yake, je, akishinda utafanye? By the way, nani anamuogopa mwenzake, serikali inayotumia mawakili wawili kesi moja au Lissu mawakili kumi na tatu kesi moja?
 
Politics is equal to "complex system with multi-dynamic variables" Lazima uwaze namna ya kuzihandle hizo real-time dynamics and you must always be creative to integrate several scenarios (hapa nitaacha blank space). Ukishindwa kufanya hivyo, lazima upotee kwenye ulingo wa siasa.
 
Kama unampongeza Lissu kwa kupewa tu dhamana ya makesi yake, je, akishinda utafanye? By the way, nani anamuogopa mwenzake, serikali inayotumia mawakili wawili kesi moja au Lissu mawakili kumi na tatu kesi moja?
KWANI DR.SLAA NI MUNGU??? ALIFANYA YAKE AMEONDOKA ANAKULA ALIYOVUNA..LABDA KAMA UNAJIVUNI MLIVYOMHONGA....HAKUNA KIBOKO WA SHERIA KAMA LISUU MPAKA WANASHERIA VILAZA WANAOMBA HAKIMU HAMKATAZE KIBATARA ASITUMIE KIDHUNGU KISA WAO NI WA MWENDOKASI....BADO ANAJITETEA MWENYEWE ANAWAPIKU WANALEWA ..
Haaaaa lisuuuuy...the man ov the people...
Dah... Chadema ya kupambana na ufisadi na rushwa iliondoka kitambo na Dr W Slaa. ..chadema iliyopo ni ile inayopiga dili Kwa kuwatetea mafisadi...inayowaza fedha zaidi..si kumuondolea shidamtanzania..
 
KWANI DR.SLAA NI MUNGU??? ALIFANYA YAKE AMEONDOKA ANAKULA ALIYOVUNA..LABDA KAMA UNAJIVUNI MLIVYOMHONGA....HAKUNA KIBOKO WA SHERIA KAMA LISUU MPAKA WANASHERIA ****** WANAOMBA HAKIMU HAMKATAZE KIBATARA ASITUMIE KIDHUNGU KISA WAO NI WA MWENDOKASI....BADO ANAJITETEA MWENYEWE ANAWAPIKU WANALEWA ..
Haaaaa lisuuuuy...the man ov the people...
Dah...huu ni ujinga mwingine tena...unamsifia daktari anayetumia taaluma yake kumuua mgonjwa..
 
Nawapongeza saana CHADEMA kwa Juhudi zenu binafsi katika kutetea wananchi wanyonge wa Taifa hili Tanzania. Yoote haya tunayashuhudia sababu ni Juhudi zenu.

Mnapambana na Chama Kikongwe CCM, wenzenu wengi mliyoanza nao safari ya Ukombozi wa Kifikra pale 1992 walishajikatia tamaa na hakuna ndoto tena ya kushika dola.

Ninyi pamoja na kuwa na Rasilimali kidogo yaani Pesa na Vitega uchumi kulinganisha CCM ambao muda mwingine wanatumia hata rasilimali za serikali bado mmekaza na kudhihirisha hili kuwa mnaogopwa na CCM ndiyo maana vitisho haviishi juu yenu kila uchao kwa kutumia vyombo vya dola.

Jifunzeni kwa Wenzenu Afrika Kusini hakika wameiweza ANC hivyo hakuna kuvunjika moyo na Vitisho vya Watawala hawa wasiyoitakia mema nchi yetu.

Ninachowaomba Viongozi wa Chadema igeni mfano wa Lissu, katika swala la kusimamia Kweli. Katika Ukombozi wowote lazima pawe na maumivu, wachache wataumia kwa faida ya wengi!

Niwatakie mapambano mema, mkikaa kimya kwa udhalimu huu hakika mtakuwa hakuna haja ya kuitwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.

Mungu awatangulie katika Mapambano yenu ya kumsaidia Mnyonge wa Tanzania asiye na Sauti ili muwe Sauti yake.
Ubarikiwe mkuu
 
Dah... Chadema ya kupambana na ufisadi na rushwa iliondoka kitambo na Dr W Slaa. ..chadema iliyopo ni ile inayopiga dili Kwa kuwatetea mafisadi...inayowaza fedha zaidi..si kumuondolea shidamtanzania..
Sasa kama ndivyo kwanini mnatumia nguvu kubwa kuwapinga? Kama hawana madhara si waacheni wananchi wawapuuze wenyewe. Angalia graph ya CHADEMA inapanda au ina shuka, na ya CCM je?
 
Back
Top Bottom