CHADEMA mmeanza kuzungumzia Ubunge Arumeru mashariki kabla hata ya Marehemu Sumari kuzikwa?

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Ni wiki hii tu umma wa watanzania tulishuhudia jinsi marehemu Mheshimiwa REGIA MTEMA - Mbunge viti maalum CHADEMA alivyozikwa kwa heshima zote na serikali na chama. Katika shughuli zote msiba hakukuonekana tofauti zozote za kiitikadi za kisiasa baiba ya vyama vya CCM na CHADEMA pamoja na vyama vingine.

Bila shaka watanzania tunategemea kuwa mambo yatakuwa hivyo pia katika msiba wa Marehemu JEREMIAH SUMARI aliyekuwa mbunge wa Arumeru mashariki. Hata hivyo binafsi nimeanza kuwa na wasiwasi wa ushiriki wa CHADEMA katika msiba huo kwa vile tayari wameanza kuzungumza jinsi ya kulipata Jimbo hilo kabla hata ya SUMARI kuzikwa.

Wana JF someni thread yenye kichwa cha habari "Shaka juu ya mgombea ubunge wa CHADEMA Arumeru mashariki".

My take: Tungesubiri SUMARI azikwe kwanza na tume walitangaze Jimbo hilo. Kwa kipindi hiki tuungane kwa pamoja katika majonzi na kuifariji familia ya marehemu.


Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen.
 
Ni wiki hii tu umma wa watanzania tulishuhudia jinsi marehemu Mheshimiwa REGIA MTEMA - Mbunge viti maalum CHADEMA alivyozikwa kwa heshima zote na serikali na chama. Katika shughuli zote msiba hakukuonekana tofauti zozote za kiitikadi za kisiasa baiba ya vyama vya CCM na CHADEMA pamoja na vyama vingine.

Bila shaka watanzania tunategemea kuwa mambo yatakuwa hivyo pia katika msiba wa Marehemu JEREMIAH SUMARI aliyekuwa mbunge wa Arumeru mashariki. Hata hivyo binafsi nimeanza kuwa na wasiwasi wa ushiriki wa CHADEMA katika msiba huo kwa vile tayari wameanza kuzungumza jinsi ya kulipata Jimbo hilo kabla hata ya SUMARI kuzikwa.

Wana JF someni thread yenye kichwa cha habari "Shaka juu ya mgombea ubunge wa CHADEMA Arumeru mashariki".

My take: Tungesubiri SUMARI azikwe kwanza na tume walitangaze Jimbo hilo. Kwa kipindi hiki tuungane kwa pamoja katika majonzi na kuifariji familia ya marehemu.


Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen.

Tushikamane tumzike marehem; acheni uroho wa madaraka huo.
RIP Sumari
 
dah...kweli siasa sihasa. yaan hata msiba haujaisha tayari vuguvugu limeshaanzishwa? tumalize kwanza msiba ndio changamoto zianze.
 
Tena hizi ni siasa chafu sana kwa baadhi ya watu wachache ambao wanatumia vibaya keybord zao kuwavuruga wanachadema na viongozi wa kamati kuu kufanya maamuzi sahihi.

HII NI TABIA CHAFU NI KAMA WATOTO WANAOGOMBEA URITHI WAKATI HATA MAITI HAIJAZIKWA.
 
dah...kweli siasa sihasa. yaan hata msiba haujaisha tayari vuguvugu limeshaanzishwa? tumalize kwanza msiba ndio changamoto zianze.

Na mgombea wao tayari washa mpendekeza. Ni kama walikuwa wakisubiri kwa hamu.
 
Ni wiki hii tu umma wa watanzania tulishuhudia jinsi marehemu Mheshimiwa REGIA MTEMA - Mbunge viti maalum CHADEMA alivyozikwa kwa heshima zote na serikali na chama. Katika shughuli zote msiba hakukuonekana tofauti zozote za kiitikadi za kisiasa baiba ya vyama vya CCM na CHADEMA pamoja na vyama vingine.

Bila shaka watanzania tunategemea kuwa mambo yatakuwa hivyo pia katika msiba wa Marehemu JEREMIAH SUMARI aliyekuwa mbunge wa Arumeru mashariki. Hata hivyo binafsi nimeanza kuwa na wasiwasi wa ushiriki wa CHADEMA katika msiba huo kwa vile tayari wameanza kuzungumza jinsi ya kulipata Jimbo hilo kabla hata ya SUMARI kuzikwa.

Wana JF someni thread yenye kichwa cha habari "Shaka juu ya mgombea ubunge wa CHADEMA Arumeru mashariki".

My take: Tungesubiri SUMARI azikwe kwanza na tume walitangaze Jimbo hilo. Kwa kipindi hiki tuungane kwa pamoja katika majonzi na kuifariji familia ya marehemu.


Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen.

:eyebrows:
 
Viongozi wa cdm wako Dar, busy na ratiba ya Mazishi...mnaoongelea mambo ya kumrithi ni nyie hapa kwenye makujwaa!
Nadhani katika hali ya kibinadamu si namna nzuri. Pia katika utamaduni wa kitanzania hii ni mwiko!
 
mi naona wangwsubili kuzungumzia kwa sababu anaweza akafufuka ikawa tabu.
 
Tena hizi ni siasa chafu sana kwa baadhi ya watu wachache ambao wanatumia vibaya keybord zao kuwavuruga wanachadema na viongozi wa kamati kuu kufanya maamuzi sahihi.

HII NI TABIA CHAFU NI KAMA WATOTO WANAOGOMBEA URITHI WAKATI HATA MAITI HAIJAZIKWA.

Kuna siasa chafu kuzidi ya kuiba kura! hizi ni dalili kuwa ccm haipendwi, na anayekuta ndani yake awe hai au mfu atakumbana na kadhia! FUNGUENI VINYWA VYENU KWA AJILI YA BUBU, WATETEENI WANYONGE YATIMA, Yote hayo ccm haitaki kufanya!!! wakifa wanatutaka tulie wanavyotaka. ene wei watanzania na ccm kwa pamoja tufakari kwa kina.
 
Ndugu,

Lazima tukubali ukweli. Wananchi wameichoka ccm na kwakweli hawakitaki tena hicho chama. Tumaini pekee la watz lipo cdm. Ndio maana ikitokea nafasi, iwe mtu kafa, kavuliwa gamba au kafukuzwa uanchama, watu akili zao zote zinafikiria ni namna gani ccm wataondolewa na cdm kuchukua hiyo nafasi.

Huo ndio ukweli na hata tusipojadili humu jukwaani ni unafiki tu maana ndio mawazo yaliyo vichwani mwetu. Acha watu wajadili na achana na maisha ya mazoea maana ni sawa na utumwa!
 
We mtoa topic umeona official statement yoyote inayozungumzia by election ya arumeru iliyotolewa na chadema au ni maoni ya wana jf tu hapa jamvini!? Im skeptical about ua hypothetical line of reasoning!!
 
Ni wiki hii tu umma wa watanzania tulishuhudia jinsi marehemu Mheshimiwa REGIA MTEMA - Mbunge viti maalum CHADEMA alivyozikwa kwa heshima zote na serikali na chama. Katika shughuli zote msiba hakukuonekana tofauti zozote za kiitikadi za kisiasa baiba ya vyama vya CCM na CHADEMA pamoja na vyama vingine.

Bila shaka watanzania tunategemea kuwa mambo yatakuwa hivyo pia katika msiba wa Marehemu JEREMIAH SUMARI aliyekuwa mbunge wa Arumeru mashariki. Hata hivyo binafsi nimeanza kuwa na wasiwasi wa ushiriki wa CHADEMA katika msiba huo kwa vile tayari wameanza kuzungumza jinsi ya kulipata Jimbo hilo kabla hata ya SUMARI kuzikwa.

Wana JF someni thread yenye kichwa cha habari "Shaka juu ya mgombea ubunge wa CHADEMA Arumeru mashariki".

My take: Tungesubiri SUMARI azikwe kwanza na tume walitangaze Jimbo hilo. Kwa kipindi hiki tuungane kwa pamoja katika majonzi na kuifariji familia ya marehemu.


Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen.

acha uchochezi wako.tumia akili na busara ulizojaliwa sio kila saa oh chadema
 
Mtu ameshakufa hana msaada wowote tena kwetu sisi ni vyema na haki wananchi kuwaza mtu wa kummpa madaraka ili atuletee maendeleo na mtu huyo haswa anatakiwa kutoka Chadema
 
Ni wiki hii tu umma wa watanzania tulishuhudia jinsi marehemu Mheshimiwa REGIA MTEMA - Mbunge viti maalum CHADEMA alivyozikwa kwa heshima zote na serikali na chama. Katika shughuli zote msiba hakukuonekana tofauti zozote za kiitikadi za kisiasa baiba ya vyama vya CCM na CHADEMA pamoja na vyama vingine.

Bila shaka watanzania tunategemea kuwa mambo yatakuwa hivyo pia katika msiba wa Marehemu JEREMIAH SUMARI aliyekuwa mbunge wa Arumeru mashariki. Hata hivyo binafsi nimeanza kuwa na wasiwasi wa ushiriki wa CHADEMA katika msiba huo kwa vile tayari wameanza kuzungumza jinsi ya kulipata Jimbo hilo kabla hata ya SUMARI kuzikwa.

Wana JF someni thread yenye kichwa cha habari "Shaka juu ya mgombea ubunge wa CHADEMA Arumeru mashariki".

My take: Tungesubiri SUMARI azikwe kwanza na tume walitangaze Jimbo hilo. Kwa kipindi hiki tuungane kwa pamoja katika majonzi na kuifariji familia ya marehemu.


Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen.

Jina lako limekua refu sana kulitamka kwa kweli, nimejaribu mara tatu nikaishia kujing"ata ulimi.
Naweza kulifupisha nikakuita tu KENGE????
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom