Chadema mlituambia mtaleta maendeleo ya watu; wananchi wanataka mtekeleze ahadi yenu Kwa vitendo. Mbinu nawapa

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Njia ya Mpinzani kuwaletea wananchi maendeleo nikumshinikiza mwenye dola aelekeze nguvu kwa wananchi na asilale.

Njia ya mwenye dola yakuwasaidia wananchi nikuwapelekea mahitaji Yao kama walivyoomba na kama ulivyoahidi.

Uchaguzi wa 2020 hatujui kama mlishindwa au mlishinda ila tunachojua ninyi kwa sasa amna dola. Kwa maana nyingine wananchi wanawategemea msukume agenda zao Kwa Kasi kuwafanya wenye dola waache kulala na kuangaika na kero za wananchi.

Mimi nataka mtekeleze ahadi yenu ya maendeleo ya watu Kwa vitendo kupitia mbinu zifuatazo

Kwanza, nasikitika kwamba Hadi Sasa akaunti za mitandao ya kijamii za umoja wa vijana katika Wilaya, majimbo, Mikoa na Kanda hazifanyi kazi yake ipasavyo na baadhi ya maeneo hakuna kabisa. Hii ni pamoja na organization nyingine. Nashauri Kila Jimbo Liwe na active account ya tweeter, JF, Facebook,Instagram na maeneo mengine. Kazi hii ilipaswa kufanywa siku nyingi ila wakina Pambalu wamelala.

Pili, akaunti hizi zieleze wananchi na kuhabarisha Kwa staha kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini yawe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi. One message can be shared at all social media using different accounts. Hii itawajenga sana kwani wananchi wataelewa wapate wapi habari. Mfano kesi inayoendelea tulitegemea akaunti zenu zisambaze kile anachofanya Martini.

Tatu, watu watakaosimamia akaunti hizi waakikishe lugha inayotumika ni lugha inayofaa kutumiwa na rika zote. Hatutegemei akaunti hizo zisambaze matusi aidha kwa CCM au kwa serikali. Tunategemea akaunti zitoe habari ambazo ni verified na lugha inakidhi. Hakuna namna wananchi watawaamini kwa kutukana au kutumia lugha ya kuudhi hata wanapowaudhi, onyesheni ukomavu na uvumilivu kuwafanya makundi yote ya binadamu wavutiwe kusikia kutoka kwenu.

Nne, akaunti hizi zitumiwe na viongozi wenu wa majimbo, wilaya, mikoa na Kanda kumweleza Rais na Serikali changamoto zilizopo kwenye majimbo na maeneo mbalimbali. Hii strategy itamfanya kila kiongozi kila eneo awajibike nakutaka kuwaprove ninyi wrong, na hili awaprove wrong atawajibika kuondoa changamoto mliyoiweka mitandaoni na hapo mtakuwa mmefanya kazi kubwa yakuwaletea watu maendeleo kama mlivyoahidi.

Taadhari, taarifa zinazotolewa ziwe za kweli na zieleze wazi changamoto ilipo kwa kutaja jina la eneo, hii itwafanya hata wananchi kutumia akaunti zenu kuieleza serikali kilio Chao. Lengo hapa nikumsaidia Rais aliyepo madarakani atatue changamoto mlizopanga kuzitatua pale mlipoomba ridhaa Kwa wananchi, sometimes tunaweza mlaumu Rais kumbe Hana taarifa. Tumsaidie apate zile taarifa ambazo wateule wake wasingependa hazipate.

Mfano; zilisambaa picha za majengo ya shule shikizi mitandaoni, kuondoa aibu serikali imeanza kujenga japo awali waziri alikuwa mkali.

Tano, Katika kutekeleza mkakati huu msiogope kutosifiwa, acha sifa ziende kwao lakini wananchi wapate maendeleo ili siku mnashinda msianzie kwenye dhiki kubwa mkutane na jamii iliyoendelea. Lakini pia kumbukeni jamii iliyoendelea na kuelimika itasaidia sana kusimamia mabadiliko ya mfumo na hata agenda ya Katiba kuelekea 2025.

Mwisho, kazi hii isiwe hiari iwe lazima; kumbukeni information is power, simameni kama bunge la wananchi kwa kuwaeleza wananchi mnawasaiduaje watatuliwe kero zao. Nadhani unaelewa na mtategelezo coz it has zero cost in implementation. Mnahitaji kutumia muda wenu wa mapumziko kuifanya hii kazi yakuhabarisha.

Chadema wakichelewa vyama vingine mnaweza kuchukua fursa hii kutoka Kwa mama yenu Kamugisha. Sisi wazee tunatamani maendeleo yasioambatana na uvunjifu wa amani, tunatamani wajukuu zetu waishi Tanzania Huru na ya haki
 
Tujiulize sisi binafsi tunafanya nini kusaidia nchi. Kulalamika na kusema wenzako ni rahisi sana. Hawa Chadema ni watu kama sisi wewe binafsi umefanya nini? Kila mmoja anatakiwa kujiuliza. Mbowe yuko na kesi, lissu alipigwa risasa….. wewe umefanya nini? Kama huna jibu ni vizuri uwape heshima yao waliojitolea na kunyamaza!
 
Mimi naona wawe karibu zaidi ns watu huko vijijini, huku ONLINE world hawafiki watu wengi na wengi ni DIASPORA hawako nchini hivyo WASIWAPUMBAZE mkashindwa kutambua the real struggle..
 
Labda uamue kuwa kiongozi wao.. Chadema itafufuka tena.. wako shimoni tangu Dr. Slaa asepe zake.. karibia udongo unawafunika.. zege liwekwe..
 
Almost kila kaya ina mmoja ana Smartphone , Ndugai aling'olewa kwa clip ya mitandaoni tu

Mtoa maada ameeleza ukweli kwamba wajikite vijijini wewe unasema clip ya mitandaoni imemng'oa ndugai wakati walioiona hawafiki hata asilimia 20 ya wapiga kura

Wewe ni kati ya watu mnaofelisha chama chenu🤣🤣🤣

Mnachukulia mambo rahisiiiiii na hamtaki kutoka jasho. Na mkiendelea hivi dola mtaisikia kwa jirani
 
Labda uamue kuwa kiongozi wao.. Chadema itafufuka tena.. wako shimoni tangu Dr. Slaa asepe zake.. karibia udongo unawafunika.. zege liwekwe
Njia ya Mpinzani kuwaletea wananchi maendeleo nikumshinikiza mwenye dola aelekeze nguvu kwa wananchi na asilale.

Njia ya mwenye dola yakuwasaidia wananchi nikuwapelekea mahitaji Yao kama walivyoomba na kama ulivyoahidi.

Uchaguzi wa 2020 hatujui kama mlishindwa au mlishinda ila tunachojua ninyi kwa sasa amna dola. Kwa maana nyingine wananchi wanawategemea msukume agenda zao Kwa Kasi kuwafanya wenye dola waache kulala na kuangaika na kero za wananchi.

Mimi nataka mtekeleze ahadi yenu ya maendeleo ya watu Kwa vitendo kupitia mbinu zifuatazo

Kwanza, nasikitika kwamba Hadi Sasa akaunti za mitandao ya kijamii za umoja wa vijana katika Wilaya, majimbo, Mikoa na Kanda hazifanyi kazi yake ipasavyo na baadhi ya maeneo hakuna kabisa. Hii ni pamoja na organization nyingine. Nashauri Kila Jimbo Liwe na active account ya tweeter, JF, Facebook,Instagram na maeneo mengine. Kazi hii ilipaswa kufanywa siku nyingi ila wakina Pambalu wamelala.

Pili, akaunti hizi zieleze wananchi na kuhabarisha Kwa staha kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini yawe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi. One message can be shared at all social media using different accounts. Hii itawajenga sana kwani wananchi wataelewa wapate wapi habari. Mfano kesi inayoendelea tulitegemea akaunti zenu zisambaze kile anachofanya Martini.

Tatu, watu watakaosimamia akaunti hizi waakikishe lugha inayotumika ni lugha inayofaa kutumiwa na rika zote. Hatutegemei akaunti hizo zisambaze matusi aidha Kwa ccm au kwa serikali. Tunategemea akaunti zitoe habari ambazo ni verified na lugha inakidhi. Hakuna namna wananchi watawaamini kwa kutukana au kutumia lugha ya kuudhi hata wanapowaudhi, onyesheni ukomavu na uvumilivu kuwafanya makundi yote ya binadamu wavutiwe kusikia kutoka kwenu.

Nne, akaunti hizi zitumiwe na viongozi wenu wa majimbo, wilaya, mikoa na Kanda kumweleza Rais na Serikali changamoto zilizopo kwenye majimbo na maeneo mbalimbali. Hii strategy itamfanya kila kiongozi kila eneo awajibike nakutaka kuwaprove ninyi wrong, na hili awaprove wrong atawajibika kuondoa changamoto mliyoiweka mitandaoni na hapo mtakuwa mmefanya kazi kubwa yakuwaletea watu maendeleo kama mlivyoahidi. Taadhari, taarifa zinazotolewa ziwe za kweli na zieleze wazi changamoto ilipo kwa kutaja jina la eneo, hii itwafanya hata wananchi kutumia akaunti zenu kuieleza serikali kilio Chao. Lengo hapa nikumsaidia Rais aliyepo madarakani atatue changamoto mlizopanga kuzitatua pale mlipoomba ridhaa Kwa wananchi, sometimes tunaweza mlaumu Rais kumbe Hana taarifa. Tumsaidie apate zile taarifa ambazo wateule wake wasingependa hazipate.
Mfano; zilisambaa picha za majengo ya shule shikizi mitandaoni, kuondoa aibu serikali imeanza kujenga japo awali waziri alikuwa mkali.

Tano, Katika kutekeleza mkakati huu msiogope kutosifiwa, acha sifa ziende kwao lakini wananchi wapate maendeleo ili siku mnashinda msianzie kwenye dhiki kubwa mkutane na jamii iliyoendelea. Lakini pia kumbukeni jamii iliyoendelea na kuelimika itasaidia sana kusimamia mabadiliko ya mfumo na hata agenda ya Katiba kuelekea 2025.

Mwisho, kazi hii isiwe hiari iwe lazima; kumbukeni information is power, simameni kama bunge la wananchi kwa kuwaeleza wananchi mnawasaiduaje watatuliwe kero zao. Nadhani unaelewa na mtategelezo coz it has zero cost in implementation. Mnahitaji kutumia muda wenu wa mapumziko kuifanya hii kazi yakuhabarisha.

Chadema wakichelewa vyama vingine mnaweza kuchukua fursa hii kutoka Kwa mama yenu Kamugisha. Sisi wazee tunatamani maendeleo yasioambatana na uvunjifu wa amani, tunatamani wajukuu zetu waishi Tanzania Huru na ya haki
Maccm akili zenu hazina akili .
Mmnatamani kunywa damu za watu, kuteka na kuwatesa wana CHADEMA.
Mzee Mbowe mmeng’ang’ania, KUPE nyie hawatoshi ehee.!
Blaa blaa nyingi upumbavu mtupu.
 
Maccm akili zenu hazina akili .
Mmnatamani kunywa damu za watu, kuteka na kuwatesa wana CHADEMA.
Mzee Mbowe mmeng’ang’ania, KUPE nyie hawatoshi ehee.!
Blaa blaa nyingi upumbavu mtupu.

Lini ulinipa kadi ya hicho chama?
Unaandika kama nyie hamtendeani hayo.. Wananchi 👂🏼👀👁 kwa sanaaaa.. futi sita hadi leo.. hamunaga jipya..
 
Njia ya Mpinzani kuwaletea wananchi maendeleo nikumshinikiza mwenye dola aelekeze nguvu kwa wananchi na asilale.

Njia ya mwenye dola yakuwasaidia wananchi nikuwapelekea mahitaji Yao kama walivyoomba na kama ulivyoahidi.

Uchaguzi wa 2020 hatujui kama mlishindwa au mlishinda ila tunachojua ninyi kwa sasa amna dola. Kwa maana nyingine wananchi wanawategemea msukume agenda zao Kwa Kasi kuwafanya wenye dola waache kulala na kuangaika na kero za wananchi.

Mimi nataka mtekeleze ahadi yenu ya maendeleo ya watu Kwa vitendo kupitia mbinu zifuatazo

Kwanza, nasikitika kwamba Hadi Sasa akaunti za mitandao ya kijamii za umoja wa vijana katika Wilaya, majimbo, Mikoa na Kanda hazifanyi kazi yake ipasavyo na baadhi ya maeneo hakuna kabisa. Hii ni pamoja na organization nyingine. Nashauri Kila Jimbo Liwe na active account ya tweeter, JF, Facebook,Instagram na maeneo mengine. Kazi hii ilipaswa kufanywa siku nyingi ila wakina Pambalu wamelala.

Pili, akaunti hizi zieleze wananchi na kuhabarisha Kwa staha kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini yawe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi. One message can be shared at all social media using different accounts. Hii itawajenga sana kwani wananchi wataelewa wapate wapi habari. Mfano kesi inayoendelea tulitegemea akaunti zenu zisambaze kile anachofanya Martini.

Tatu, watu watakaosimamia akaunti hizi waakikishe lugha inayotumika ni lugha inayofaa kutumiwa na rika zote. Hatutegemei akaunti hizo zisambaze matusi aidha kwa CCM au kwa serikali. Tunategemea akaunti zitoe habari ambazo ni verified na lugha inakidhi. Hakuna namna wananchi watawaamini kwa kutukana au kutumia lugha ya kuudhi hata wanapowaudhi, onyesheni ukomavu na uvumilivu kuwafanya makundi yote ya binadamu wavutiwe kusikia kutoka kwenu.

Nne, akaunti hizi zitumiwe na viongozi wenu wa majimbo, wilaya, mikoa na Kanda kumweleza Rais na Serikali changamoto zilizopo kwenye majimbo na maeneo mbalimbali. Hii strategy itamfanya kila kiongozi kila eneo awajibike nakutaka kuwaprove ninyi wrong, na hili awaprove wrong atawajibika kuondoa changamoto mliyoiweka mitandaoni na hapo mtakuwa mmefanya kazi kubwa yakuwaletea watu maendeleo kama mlivyoahidi.

Taadhari, taarifa zinazotolewa ziwe za kweli na zieleze wazi changamoto ilipo kwa kutaja jina la eneo, hii itwafanya hata wananchi kutumia akaunti zenu kuieleza serikali kilio Chao. Lengo hapa nikumsaidia Rais aliyepo madarakani atatue changamoto mlizopanga kuzitatua pale mlipoomba ridhaa Kwa wananchi, sometimes tunaweza mlaumu Rais kumbe Hana taarifa. Tumsaidie apate zile taarifa ambazo wateule wake wasingependa hazipate.

Mfano; zilisambaa picha za majengo ya shule shikizi mitandaoni, kuondoa aibu serikali imeanza kujenga japo awali waziri alikuwa mkali.

Tano, Katika kutekeleza mkakati huu msiogope kutosifiwa, acha sifa ziende kwao lakini wananchi wapate maendeleo ili siku mnashinda msianzie kwenye dhiki kubwa mkutane na jamii iliyoendelea. Lakini pia kumbukeni jamii iliyoendelea na kuelimika itasaidia sana kusimamia mabadiliko ya mfumo na hata agenda ya Katiba kuelekea 2025.

Mwisho, kazi hii isiwe hiari iwe lazima; kumbukeni information is power, simameni kama bunge la wananchi kwa kuwaeleza wananchi mnawasaiduaje watatuliwe kero zao. Nadhani unaelewa na mtategelezo coz it has zero cost in implementation. Mnahitaji kutumia muda wenu wa mapumziko kuifanya hii kazi yakuhabarisha.

Chadema wakichelewa vyama vingine mnaweza kuchukua fursa hii kutoka Kwa mama yenu Kamugisha. Sisi wazee tunatamani maendeleo yasioambatana na uvunjifu wa amani, tunatamani wajukuu zetu waishi Tanzania Huru na ya haki

Hebu ipeni CHADEMA nafasi ya kupumua, vyama vipo vingi. Huo ushauri wapelekee ACT, CUF au TLP. Yani kuonewa aonewe CHADEMA halafu CHADEMA ndio awe msemaji wa maendeleo ya wananchi?. Hiyo kazi anaweza kufanya msemaji wa serikali.
 
Mimi naona wawe karibu zaidi ns watu huko vijijini, huku ONLINE world hawafiki watu wengi na wengi ni DIASPORA hawako nchini hivyo WASIWAPUMBAZE mkashindwa kutambua the real struggle..

Lets be fair, Vijijini mbona CHADEMA misingi ilishamaliza kazi. Kila Kijiji Tanzania CHADEMA ipo na hii ilisaidia Sana kwenye kampeni ya 2020 na kumpa nguvu mgombea urais. Tatizo, dola haiitaki CHADEMA hicho kimekuwa kizingiti kikubwa. Mngeliangalia Hilo kwanza, CHADEMA kikwazo chake Ni dola .

Kuna kipindi mihimili yote ilikuwa dhidi ya CHADEMA, mahakama ilimuweka Lema ndani kwa miezi sita bila sababu, bunge liliwashughulikia CHADEMA ipsavyo na serikali ikahakikisha kupitia polisi CHADEMA inahangaika Kila kukicha.
 
Labda uamue kuwa kiongozi wao.. Chadema itafufuka tena.. wako shimoni tangu Dr. Slaa asepe zake.. karibia udongo unawafunika.. zege liwekwe..

Mbona Dr Slaa alipoondoka ndipo ilipata wabunge wengi na kura nyingi za urais. Tatizo Ni kwamba dola inapambana na CHADEMA hilo ndio tatizo. Dola ingekuwa fair leo CHADEMA ingekuwa mbali. Leo Kuna wabunge haramu wasiotambuliwa na CHADEMA lakini wamekingiwa kifua na Bunge na kudharau hata haki ya CHADEMA kudhamini wabunge wake. CHADEMA italindwa na Mungu tu.
 
Njia ya Mpinzani kuwaletea wananchi maendeleo nikumshinikiza mwenye dola aelekeze nguvu kwa wananchi na asilale.

Njia ya mwenye dola yakuwasaidia wananchi nikuwapelekea mahitaji Yao kama walivyoomba na kama ulivyoahidi.

Uchaguzi wa 2020 hatujui kama mlishindwa au mlishinda ila tunachojua ninyi kwa sasa amna dola. Kwa maana nyingine wananchi wanawategemea msukume agenda zao Kwa Kasi kuwafanya wenye dola waache kulala na kuangaika na kero za wananchi.

Mimi nataka mtekeleze ahadi yenu ya maendeleo ya watu Kwa vitendo kupitia mbinu zifuatazo

Kwanza, nasikitika kwamba Hadi Sasa akaunti za mitandao ya kijamii za umoja wa vijana katika Wilaya, majimbo, Mikoa na Kanda hazifanyi kazi yake ipasavyo na baadhi ya maeneo hakuna kabisa. Hii ni pamoja na organization nyingine. Nashauri Kila Jimbo Liwe na active account ya tweeter, JF, Facebook,Instagram na maeneo mengine. Kazi hii ilipaswa kufanywa siku nyingi ila wakina Pambalu wamelala.

Pili, akaunti hizi zieleze wananchi na kuhabarisha Kwa staha kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini yawe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi. One message can be shared at all social media using different accounts. Hii itawajenga sana kwani wananchi wataelewa wapate wapi habari. Mfano kesi inayoendelea tulitegemea akaunti zenu zisambaze kile anachofanya Martini.

Tatu, watu watakaosimamia akaunti hizi waakikishe lugha inayotumika ni lugha inayofaa kutumiwa na rika zote. Hatutegemei akaunti hizo zisambaze matusi aidha kwa CCM au kwa serikali. Tunategemea akaunti zitoe habari ambazo ni verified na lugha inakidhi. Hakuna namna wananchi watawaamini kwa kutukana au kutumia lugha ya kuudhi hata wanapowaudhi, onyesheni ukomavu na uvumilivu kuwafanya makundi yote ya binadamu wavutiwe kusikia kutoka kwenu.

Nne, akaunti hizi zitumiwe na viongozi wenu wa majimbo, wilaya, mikoa na Kanda kumweleza Rais na Serikali changamoto zilizopo kwenye majimbo na maeneo mbalimbali. Hii strategy itamfanya kila kiongozi kila eneo awajibike nakutaka kuwaprove ninyi wrong, na hili awaprove wrong atawajibika kuondoa changamoto mliyoiweka mitandaoni na hapo mtakuwa mmefanya kazi kubwa yakuwaletea watu maendeleo kama mlivyoahidi.

Taadhari, taarifa zinazotolewa ziwe za kweli na zieleze wazi changamoto ilipo kwa kutaja jina la eneo, hii itwafanya hata wananchi kutumia akaunti zenu kuieleza serikali kilio Chao. Lengo hapa nikumsaidia Rais aliyepo madarakani atatue changamoto mlizopanga kuzitatua pale mlipoomba ridhaa Kwa wananchi, sometimes tunaweza mlaumu Rais kumbe Hana taarifa. Tumsaidie apate zile taarifa ambazo wateule wake wasingependa hazipate.

Mfano; zilisambaa picha za majengo ya shule shikizi mitandaoni, kuondoa aibu serikali imeanza kujenga japo awali waziri alikuwa mkali.

Tano, Katika kutekeleza mkakati huu msiogope kutosifiwa, acha sifa ziende kwao lakini wananchi wapate maendeleo ili siku mnashinda msianzie kwenye dhiki kubwa mkutane na jamii iliyoendelea. Lakini pia kumbukeni jamii iliyoendelea na kuelimika itasaidia sana kusimamia mabadiliko ya mfumo na hata agenda ya Katiba kuelekea 2025.

Mwisho, kazi hii isiwe hiari iwe lazima; kumbukeni information is power, simameni kama bunge la wananchi kwa kuwaeleza wananchi mnawasaiduaje watatuliwe kero zao. Nadhani unaelewa na mtategelezo coz it has zero cost in implementation. Mnahitaji kutumia muda wenu wa mapumziko kuifanya hii kazi yakuhabarisha.

Chadema wakichelewa vyama vingine mnaweza kuchukua fursa hii kutoka Kwa mama yenu Kamugisha. Sisi wazee tunatamani maendeleo yasioambatana na uvunjifu wa amani, tunatamani wajukuu zetu waishi Tanzania Huru na ya haki
Naunga mkono hoja
 
Mtoa maada ameeleza ukweli kwamba wajikite vijijini wewe unasema clip ya mitandaoni imemng'oa ndugai wakati walioiona hawafiki hata asilimia 20 ya wapiga kura

Wewe ni kati ya watu mnaofelisha chama chenu🤣🤣🤣

Mnachukulia mambo rahisiiiiii na hamtaki kutoka jasho. Na mkiendelea hivi dola mtaisikia kwa jirani

Unapoongea kitu kuwa realistic. CHADEMA wataanya mobilization lini wakati serikali imepiga marufuku mikutano ya kisiasa huu mwaka was sita. Mikutano mingapi ya ndani ya CHADEMA imezuiliwa?. CHADEMA imepitia misukosuko mingi lazima tukubali, Mwenyekiti yupo ndani kwa kesi yaugaidi, msaidizi wake aliuwawa haijulikani mwili wake upo wapi mpaka leo. Makamu Mwenyekiti alimiminiwa risasi hata uchunguzi haujafanyika na pia haki ya CHADEMA kuteua wabunge viti maalum alinyanganywa na serikali pamoja na Bunge. Halafu unakuja kuongea kwa dharau as if everything is normal.
 
Lini ulinipa kadi ya hicho chama?
Unaandika kama nyie hamtendeani hayo.. Wananchi 👂🏼👀👁 kwa sanaaaa.. futi sita hadi leo.. hamunaga jipya..

Wewe ndio hauna jipya. Mna uchungu na CHADEMA wakati vyombo vyote vya maamuzi vipo Chini yenu. Endeleni kukopa nchi ipigwe mnada.
 
Njia ya Mpinzani kuwaletea wananchi maendeleo nikumshinikiza mwenye dola aelekeze nguvu kwa wananchi na asilale.

Njia ya mwenye dola yakuwasaidia wananchi nikuwapelekea mahitaji Yao kama walivyoomba na kama ulivyoahidi.

Uchaguzi wa 2020 hatujui kama mlishindwa au mlishinda ila tunachojua ninyi kwa sasa amna dola. Kwa maana nyingine wananchi wanawategemea msukume agenda zao Kwa Kasi kuwafanya wenye dola waache kulala na kuangaika na kero za wananchi.

Mimi nataka mtekeleze ahadi yenu ya maendeleo ya watu Kwa vitendo kupitia mbinu zifuatazo

Kwanza, nasikitika kwamba Hadi Sasa akaunti za mitandao ya kijamii za umoja wa vijana katika Wilaya, majimbo, Mikoa na Kanda hazifanyi kazi yake ipasavyo na baadhi ya maeneo hakuna kabisa. Hii ni pamoja na organization nyingine. Nashauri Kila Jimbo Liwe na active account ya tweeter, JF, Facebook,Instagram na maeneo mengine. Kazi hii ilipaswa kufanywa siku nyingi ila wakina Pambalu wamelala.

Pili, akaunti hizi zieleze wananchi na kuhabarisha Kwa staha kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini yawe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi. One message can be shared at all social media using different accounts. Hii itawajenga sana kwani wananchi wataelewa wapate wapi habari. Mfano kesi inayoendelea tulitegemea akaunti zenu zisambaze kile anachofanya Martini.

Tatu, watu watakaosimamia akaunti hizi waakikishe lugha inayotumika ni lugha inayofaa kutumiwa na rika zote. Hatutegemei akaunti hizo zisambaze matusi aidha kwa CCM au kwa serikali. Tunategemea akaunti zitoe habari ambazo ni verified na lugha inakidhi. Hakuna namna wananchi watawaamini kwa kutukana au kutumia lugha ya kuudhi hata wanapowaudhi, onyesheni ukomavu na uvumilivu kuwafanya makundi yote ya binadamu wavutiwe kusikia kutoka kwenu.

Nne, akaunti hizi zitumiwe na viongozi wenu wa majimbo, wilaya, mikoa na Kanda kumweleza Rais na Serikali changamoto zilizopo kwenye majimbo na maeneo mbalimbali. Hii strategy itamfanya kila kiongozi kila eneo awajibike nakutaka kuwaprove ninyi wrong, na hili awaprove wrong atawajibika kuondoa changamoto mliyoiweka mitandaoni na hapo mtakuwa mmefanya kazi kubwa yakuwaletea watu maendeleo kama mlivyoahidi.

Taadhari, taarifa zinazotolewa ziwe za kweli na zieleze wazi changamoto ilipo kwa kutaja jina la eneo, hii itwafanya hata wananchi kutumia akaunti zenu kuieleza serikali kilio Chao. Lengo hapa nikumsaidia Rais aliyepo madarakani atatue changamoto mlizopanga kuzitatua pale mlipoomba ridhaa Kwa wananchi, sometimes tunaweza mlaumu Rais kumbe Hana taarifa. Tumsaidie apate zile taarifa ambazo wateule wake wasingependa hazipate.

Mfano; zilisambaa picha za majengo ya shule shikizi mitandaoni, kuondoa aibu serikali imeanza kujenga japo awali waziri alikuwa mkali.

Tano, Katika kutekeleza mkakati huu msiogope kutosifiwa, acha sifa ziende kwao lakini wananchi wapate maendeleo ili siku mnashinda msianzie kwenye dhiki kubwa mkutane na jamii iliyoendelea. Lakini pia kumbukeni jamii iliyoendelea na kuelimika itasaidia sana kusimamia mabadiliko ya mfumo na hata agenda ya Katiba kuelekea 2025.

Mwisho, kazi hii isiwe hiari iwe lazima; kumbukeni information is power, simameni kama bunge la wananchi kwa kuwaeleza wananchi mnawasaiduaje watatuliwe kero zao. Nadhani unaelewa na mtategelezo coz it has zero cost in implementation. Mnahitaji kutumia muda wenu wa mapumziko kuifanya hii kazi yakuhabarisha.

Chadema wakichelewa vyama vingine mnaweza kuchukua fursa hii kutoka Kwa mama yenu Kamugisha. Sisi wazee tunatamani maendeleo yasioambatana na uvunjifu wa amani, tunatamani wajukuu zetu waishi Tanzania Huru na ya haki
Mbona we punguani aise. Kwani chadema wameahashika madaraka mpaka watekeleze walichosema. Au unataka wapindue serikali ili watekeleze hilo
 
Njia ya Mpinzani kuwaletea wananchi maendeleo nikumshinikiza mwenye dola aelekeze nguvu kwa wananchi na asilale.

Njia ya mwenye dola yakuwasaidia wananchi nikuwapelekea mahitaji Yao kama walivyoomba na kama ulivyoahidi.

Uchaguzi wa 2020 hatujui kama mlishindwa au mlishinda ila tunachojua ninyi kwa sasa amna dola. Kwa maana nyingine wananchi wanawategemea msukume agenda zao Kwa Kasi kuwafanya wenye dola waache kulala na kuangaika na kero za wananchi.

Mimi nataka mtekeleze ahadi yenu ya maendeleo ya watu Kwa vitendo kupitia mbinu zifuatazo

Kwanza, nasikitika kwamba Hadi Sasa akaunti za mitandao ya kijamii za umoja wa vijana katika Wilaya, majimbo, Mikoa na Kanda hazifanyi kazi yake ipasavyo na baadhi ya maeneo hakuna kabisa. Hii ni pamoja na organization nyingine. Nashauri Kila Jimbo Liwe na active account ya tweeter, JF, Facebook,Instagram na maeneo mengine. Kazi hii ilipaswa kufanywa siku nyingi ila wakina Pambalu wamelala.

Pili, akaunti hizi zieleze wananchi na kuhabarisha Kwa staha kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini yawe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi. One message can be shared at all social media using different accounts. Hii itawajenga sana kwani wananchi wataelewa wapate wapi habari. Mfano kesi inayoendelea tulitegemea akaunti zenu zisambaze kile anachofanya Martini.

Tatu, watu watakaosimamia akaunti hizi waakikishe lugha inayotumika ni lugha inayofaa kutumiwa na rika zote. Hatutegemei akaunti hizo zisambaze matusi aidha kwa CCM au kwa serikali. Tunategemea akaunti zitoe habari ambazo ni verified na lugha inakidhi. Hakuna namna wananchi watawaamini kwa kutukana au kutumia lugha ya kuudhi hata wanapowaudhi, onyesheni ukomavu na uvumilivu kuwafanya makundi yote ya binadamu wavutiwe kusikia kutoka kwenu.

Nne, akaunti hizi zitumiwe na viongozi wenu wa majimbo, wilaya, mikoa na Kanda kumweleza Rais na Serikali changamoto zilizopo kwenye majimbo na maeneo mbalimbali. Hii strategy itamfanya kila kiongozi kila eneo awajibike nakutaka kuwaprove ninyi wrong, na hili awaprove wrong atawajibika kuondoa changamoto mliyoiweka mitandaoni na hapo mtakuwa mmefanya kazi kubwa yakuwaletea watu maendeleo kama mlivyoahidi.

Taadhari, taarifa zinazotolewa ziwe za kweli na zieleze wazi changamoto ilipo kwa kutaja jina la eneo, hii itwafanya hata wananchi kutumia akaunti zenu kuieleza serikali kilio Chao. Lengo hapa nikumsaidia Rais aliyepo madarakani atatue changamoto mlizopanga kuzitatua pale mlipoomba ridhaa Kwa wananchi, sometimes tunaweza mlaumu Rais kumbe Hana taarifa. Tumsaidie apate zile taarifa ambazo wateule wake wasingependa hazipate.

Mfano; zilisambaa picha za majengo ya shule shikizi mitandaoni, kuondoa aibu serikali imeanza kujenga japo awali waziri alikuwa mkali.

Tano, Katika kutekeleza mkakati huu msiogope kutosifiwa, acha sifa ziende kwao lakini wananchi wapate maendeleo ili siku mnashinda msianzie kwenye dhiki kubwa mkutane na jamii iliyoendelea. Lakini pia kumbukeni jamii iliyoendelea na kuelimika itasaidia sana kusimamia mabadiliko ya mfumo na hata agenda ya Katiba kuelekea 2025.

Mwisho, kazi hii isiwe hiari iwe lazima; kumbukeni information is power, simameni kama bunge la wananchi kwa kuwaeleza wananchi mnawasaiduaje watatuliwe kero zao. Nadhani unaelewa na mtategelezo coz it has zero cost in implementation. Mnahitaji kutumia muda wenu wa mapumziko kuifanya hii kazi yakuhabarisha.

Chadema wakichelewa vyama vingine mnaweza kuchukua fursa hii kutoka Kwa mama yenu Kamugisha. Sisi wazee tunatamani maendeleo yasioambatana na uvunjifu wa amani, tunatamani wajukuu zetu waishi Tanzania Huru na ya haki
Uzi wa ajabu kabisa ,CHADEMA ndo umetoa Rais mpaka sasa?
 
Uchaguzi wa 2020 hatujui kama mlishindwa au mlishinda ila tunachojua ninyi kwa sasa amna dola. Kwa maana nyingine wananchi wanawategemea msukume agenda zao Kwa Kasi kuwafanya wenye dola waache kulala na kuangaika na kero za wananchi.
Wananchi walituelewa vibaya, tulisema tutawaletea maendeleo wakituchagua na kutukabidhi uongozi wa nchi. Kama hatujashika dola na kuunda serikali, hatuna ajenda yoyote ya maana kuhusu maendeleo ya wananchi. Ajenda zetu ni za kisiasa zaidi kama katiba mpya nk.
 
Back
Top Bottom