Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hujawahi kuwa na hoja zaidi ya kuzalishwa hovyo hovyoKamanda jikite kwenye hoja,umesusa au hujasusa?
Hujawahi kuwa na hoja zaidi ya kuzalishwa hovyo hovyoKamanda jikite kwenye hoja,umesusa au hujasusa?
Wewe ni zaidi ya mla majaniSasa nongwa ya nini?
Unaonekana umekata tamaa ya maisha masikini.Wangenyamaza tu si wamesusa?
Hao kushinda rufaa zao ili warudishiwe uanachama ni sawa na kuniambia mimi njiunge na ccm.Kwa sababu walishavuliwa uanachama wao ndani ya CHADEMA. Hata pale walipokata rufaa dhidi ya kuvuliwa kwao uanachama basi wanatambua kuwa wao si wanachama tena wa CHADEMA mpaka pale watakapoweza kuzishinda rufaa zao na hatimaye kurejeshewa tena uanachama wao.
Uko sahihi.Ndugu zangu,
Chadema walisisia matokeo ya uchaguzi mkuu mwaka 2020 wakaahidi kutoshiriki uchaguzi wowote siku zijazo..
Huyu spika kwa uzalendo kwa taifa ni 0%.Huwezi vunja katiba waziwazi ukajiita mzalendo wa taifaSidhani kama Chadema wana shida na wakina Halima kuwa wabunge. Wasichotaka ni wao kuwawakilisha. Spika makini hawezi kukipangia chama kisicho chake uwakilishi Bungeni...
Halima Mdee ndiye anayeng'ang'ania kubaki CHADEMA wakati afeshafukuzwa..Ndugu zangu,
Chadema walisisia matokeo ya uchaguzi mkuu mwaka 2020 wakaahidi kutoshiriki uchaguzi wowote siku zijazo...
Uelewa wako kwenye jambo hili watia shaka sana, ndugu.Chadema walisema uchaguzi wa 2020 ulikuwa batili, sasa kuwaandama wabunge 19 wa chama chao wenyewe na kuwaacha wale wengine wa chama twawala wanaonyesha hawana mtazamo mpana wa kisiasa na kuishia kujikita kwenye siasa za matukio, mihemuko, wivu huku wakiwaacha ccm wakiendelea kujivinjari kana kwamba hawana mpinzani serious...
Wewe ni zaidi ya mla majani
Afadhali ya sungura anazaa kwa nafasiKamanda acha kupanik
Wewe ni nani kwao?Sasa nongwa ya nini?
Hakuna nongwa; ila wanakumbusha wahusika wazingatie katiba ya nchi.Ndugu zangu,
Chadema walisisia matokeo ya uchaguzi mkuu mwaka 2020 wakaahidi kutoshiriki uchaguzi wowote siku zijazo...
Hakuna nongwa; ila wanakumbusha wahusika wazingatie katiba ya nchi.
Kwani chadema wana jipya lipi hadi jina lao lisitumike kuwaingiza wabunge.....kuna uchaguzi wowote mkuu walishashinda nafasi ya urais, au akishakaa mbowe hapo tayari manona mna rais...Uelewa wako kwenye jambo hili watia shaka sana, ndugu.
Hebu kaa ujiulize kwa nini waingizwe huko bungeni kwa jina la CHADEMA?
Wangekuwa wameingia huko kivyaovyao hakuna ambae angehangaika nao, labda wa kwenu huko lumumba.
Utakapoelewa itakusaidiaKwani chadema wana jipya lipi hadi jina lao lisitumike kuwaingiza wabunge.....kuna uchaguzi wowote mkuu walishashinda nafasi ya urais, au akishakaa mbowe hapo tayari manona mna rais...
Tumia akili kidogo unapoandika mbona povu linakutoka ,sasa hivi ni serikal ya awamu ya 6 tulia sindano ya nchi 6 ikuingie tukujue.Ndugu zangu,
Chadema walisisia matokeo ya uchaguzi mkuu mwaka 2020 wakaahidi kutoshiriki uchaguzi wowote siku zijazo.
Ingekuwa busara waendelee na shughuli nyingine waachane na siasa kwani masharti yao hayakutimizwa.Sio lazima Chadema kushiriki chochote,kitendo chao kuwasakama akina Halima Mdee ni nongwa na husda.
Ukisusa susa kweli acha kutazama nyuma.
Mwambie job ndugai akaamue rufaa zao yeye si ndoo kila kitu .Rufaa zao zimeshaamuliwa??