thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Baada ya Zitto kutokabaliana na umangi meza ndani ya CHADEMA, alisulubiwa sana na vijana wa Mwenyekiti Freeman Mbowe.
Zitto Kabwe hakukata tamaa, alipambana sana na sasa mafanikio yake yanaanza kuonekana ndicho chama kinachoenda kuwa chama kikuu cha upinzani.
Si amini katika muunganiko wao Kufanyika kwani CHADEMA bado hawamuamini Zitto.
Muda ni mwalimu utawadia na kutupa majibu
Zitto Kabwe hakukata tamaa, alipambana sana na sasa mafanikio yake yanaanza kuonekana ndicho chama kinachoenda kuwa chama kikuu cha upinzani.
Si amini katika muunganiko wao Kufanyika kwani CHADEMA bado hawamuamini Zitto.
Muda ni mwalimu utawadia na kutupa majibu