Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Dogo njaa inazidi kukudhalilisha,ungenyamaza tu.Siku za karibuni hata nyumbu wamekuvaa
Mkuu Ritz , uwe unatofautisha kauli/maoni ya mtu binafsi na maoni ya chama. Hayo ni maoni ya Joseph Mbilinyi binafsi na si ya CHADEMA. Usilazimishe mambo. Mwishoni utalazimisha kuwa maoni ya Polepole na Gwajima kuhusu chanjo ya UVIKO ni maoni ya CCM. Tumia akili yako vyema.