ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,275
- 5,961
CCM wanawakana. Chadema mliwakana akina sugu na Mnyika?Huna akili,kwahiyo kila aliyekuwa mbunge wa CDM akitoka na maoni yake basi ni maoni ya CDM?
Maoni ya Gwajima na Polepole ni maoni ya CCM?
Jitambue!