johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,839
- 141,756
Uongozi wa Chadema mkoani Mara umeunga mkono kwa kauli moja uamuzi wa kamati kuu ya chama chao wa kuwavua uanachama waliokuwa wabunge wao Esther Bulaya na Esther Matiko.
Chanzo: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Chanzo: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!