Lai Otieno
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 311
- 90
CHADEMA mkoa wa Mara siku ya tarh 23 itafanya mkutano mkubwa katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo.
Kabla ya mkutano huo siku ya jumapili tarh 22 kutakuwa na harambee kubwa ya kuchangia chama mkoa itakacho fanyika katika ukumbi wa Palm Beach, harambee hiyo itaongozwa na viongozi wakuu wa chama.
More updates to come......
Kabla ya mkutano huo siku ya jumapili tarh 22 kutakuwa na harambee kubwa ya kuchangia chama mkoa itakacho fanyika katika ukumbi wa Palm Beach, harambee hiyo itaongozwa na viongozi wakuu wa chama.
More updates to come......