Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Ni hoja tu maana nguvu inayotumika ni sahihi kwa ajili ya kushinda shida ni kuwa sio nguvu ya hoja ila ni hoja ya nguvu hasa hasa ukizingatia kauli mbiu ya "PP". Historia inaonyesha chama chochote kikiboronga haijalishi ni chama gani na kilikuwa maarufu kiasi gani, watakikataa tu! Nani alijua CCM itakuwa na upinzani huu wa sasa? Hata kama upinzani wenyewe una mapungufu, lakini unakishikisha adamu CCM.
Wasiwasi wangu uko kwa viongozi na jinsi watu wanavyopokea hamasa zao, inaonekana nguvu inayotumika ni ya mwili zaidi kuliko hoj na mipangotunayoitarajia, ikiwemo kurushiana kashfa na matusi (nasema hivi kwakuwa CCM nao wameingina kwenye mtego wa kurushiana vijembe). Kuna hatari wakiiingia madarakani wakahamasisha chuki hii hii na kutaka chama kilichokuwa madarakani kiteswe au kiadhibiwe au hata kifutwe.
Ni vema kuyasema haya kabla hayajatokea, kuliko kusubiri. Nasubiri busara zenu kwenye kuchangia mada hii.
Wasiwasi wangu uko kwa viongozi na jinsi watu wanavyopokea hamasa zao, inaonekana nguvu inayotumika ni ya mwili zaidi kuliko hoj na mipangotunayoitarajia, ikiwemo kurushiana kashfa na matusi (nasema hivi kwakuwa CCM nao wameingina kwenye mtego wa kurushiana vijembe). Kuna hatari wakiiingia madarakani wakahamasisha chuki hii hii na kutaka chama kilichokuwa madarakani kiteswe au kiadhibiwe au hata kifutwe.
Ni vema kuyasema haya kabla hayajatokea, kuliko kusubiri. Nasubiri busara zenu kwenye kuchangia mada hii.