Halfcaste
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 972
- 215
- Thread starter
- #21
Hapana walk out speaks louder than,labda cjajua Mawaziri vivuli CHADEMA kama kweli wako serious??Ukitaka kujua Hawako makini,wakati wenzao Wanaanza kamati bajeti za wizara wenyewe wanakimbilia lindi na mtwaraaaa! Walikuwa wapi kabla ya hapo? Hive tatawaelewa kweli kweli? Hata Hao mawaziri vivuli wtazungumza nini bungeni?this is nonsense,labda wata walk out Kama desturi Yao.
Wanaikimbia bajeti hatua za muhimu hawa mtawapa nchi kweli?