Mwaka 2015 mlipomsimamisha Edo, tuliwaacha tukijua jamaa anaushawishi sana, kiukweli niliipigia kura chadema kwanzia udiwani ubunge mpaka Uraiasi,
Natoa taarifa sio ombi, msipomsimamisha Lisu nachana kadi yangu yangu ya CHADEMA na sitakua mwanachama tena wa CHAMA CHENU. na siko peke yangu tupo hapa wanachama nane tunasubiri kuchana!
Hatutaki kusikia chochote wala fyokofyoko yoyote
Kwaleo naishia hapo! Nangoja maamuzi ya kamati kuu na mimi nifanye maamuzi ya kamati yangu
Natoa taarifa sio ombi, msipomsimamisha Lisu nachana kadi yangu yangu ya CHADEMA na sitakua mwanachama tena wa CHAMA CHENU. na siko peke yangu tupo hapa wanachama nane tunasubiri kuchana!
Hatutaki kusikia chochote wala fyokofyoko yoyote
Kwaleo naishia hapo! Nangoja maamuzi ya kamati kuu na mimi nifanye maamuzi ya kamati yangu