Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Ukweli ni kwamba Wazanzibar Sasa wanaona the way ACT Wazalendo alivyo,, hana tofauti na CCM.
CHADEMA mkiwekeza Zanzibar,,mkaubiri haki,, na matatizo pamoja na suruhisho la muungano mta-win Sana Zanzibar.
Kumbuka last year, speech moja ya Lissu uko Pemba, ilifanya wazanzibari wamchague sana Lissu. Kitendo Cha ACT Wazalendo kuwa wanafiki na kukumbatia uovu wa CCM, kimepunguza imani kwa wazanzibari.
CHADEMA nenda Zanzibar mtakuwa Giant party Kama uku bara.
CHADEMA mkiwekeza Zanzibar,,mkaubiri haki,, na matatizo pamoja na suruhisho la muungano mta-win Sana Zanzibar.
Kumbuka last year, speech moja ya Lissu uko Pemba, ilifanya wazanzibari wamchague sana Lissu. Kitendo Cha ACT Wazalendo kuwa wanafiki na kukumbatia uovu wa CCM, kimepunguza imani kwa wazanzibari.
CHADEMA nenda Zanzibar mtakuwa Giant party Kama uku bara.