nimesikia ule utaratibu wa kukopeshana mamilioni ya shilingi kwa ajili ya kununua magari ya kifahari unaendelea, kama kuna wakati wa kuwaonyesha watanzania njia kwa vitendo ni sasa, hata kama ni mkopo hiyo ni sumu, nasubiri kwa hamu kusikia chadema wanaamua nini katika hili. kama wakikubali hizo mil 90 kila mmoja eti kwa kununulia magari, basi A, B na C yote ni majibu sahihi, i mean CCM, CUF na CHADEMA hamna tofauti