unajua watu hawaambiwa mambo mengi mabaya yanayo fanyika, siasa sasa hivi imekua ya upande umoja tu. ukisimama na kuongea kinyume unafungwa. ata hao wanaojiunga ccm, hawana alternative. ni uwoga tu. ila kwa sasa hivi mambo ni mabaya. jiulize kwa nini walitaka kumua Tundu Lisu ? wengi wana kimbilia ccm kwa sababu yakutafuta fursa na kujilinda.Flyover Dar, Uwanja chato, Mambo yote Dar na Chato, mmmh labda akijenga flyover Tunduru, kondoa au Nanjilinji atawashawishi, Wale wa vijijini waliokuwa wanatumiwa pesa na ndugu mjini sasa huko vijijini hawana kitu hata mbolea watu wa mjini hawatumi pesa, Deal zimekata