Kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania, ni kama ushindi kwa chama hiki cha CHADEMA na kwao ni hatua nzuri kimafanikio katika siasa.
Hatua hii waliyopo CHADEMA kwa sasa imeshakaliwa na vyama kadhaa vya upinzani huko nyuma, lakini vilishindwa kuhimili mikiki miki ya kiushindani na kujikuta vikipoteza mvuto wake kisiasa.
CHADEMA jitahidini sana maana ushindani katika hatua hiyo ya kubaki kuwa chama kikuu cha upinzani sio mwepesi. Maana CUF, NCCR na TLP kila kimoja kinapigana kurudi katika hiyo nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani.
Rai yangu kwa CHADEMA, huku CCM hatuna shaka na kukubalika kwetu hasa na watu wa vijijini, kukubalika huku kuna tuhakikishia kubaki madarakani kwa karne, kutokana na hilo basi, CHADEMA jitahidini muendelee kuwa chama kikuu cha upinzani, ndiyo ushindi wenu huo.
Hatua hii waliyopo CHADEMA kwa sasa imeshakaliwa na vyama kadhaa vya upinzani huko nyuma, lakini vilishindwa kuhimili mikiki miki ya kiushindani na kujikuta vikipoteza mvuto wake kisiasa.
CHADEMA jitahidini sana maana ushindani katika hatua hiyo ya kubaki kuwa chama kikuu cha upinzani sio mwepesi. Maana CUF, NCCR na TLP kila kimoja kinapigana kurudi katika hiyo nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani.
Rai yangu kwa CHADEMA, huku CCM hatuna shaka na kukubalika kwetu hasa na watu wa vijijini, kukubalika huku kuna tuhakikishia kubaki madarakani kwa karne, kutokana na hilo basi, CHADEMA jitahidini muendelee kuwa chama kikuu cha upinzani, ndiyo ushindi wenu huo.