na ruzuku ya ccm nayo inafanya mambo gani
kulipia magazeti ya uhuru na mzalendo ambayo hayauziki
na ruzuku ya ccm nayo inafanya mambo gani
Mkuu majungu hayawezi kuisaidia nchi yetu,je unaweza kutupa kaushaidi kidogo ?Alizopewa SLAA kujengea nyumba hazokutoka humu?
Mkuu RockSpider,let us be realistic!Mchanganuo wa Matumizi ya Bilioni Kumi za Ruzuku kwa CCM kila Mwezi:
1. Mapato yatokanayo na ruzuku kwa mwezi..................................................................10,000,000,000.00
2. Mgawo kwa Makada wa CCM...................................................................................(3,000,000,000.00)
3. Posho ya kujikumu kwa M/Kiti, Makamu/Mkiti, Katibu na manaibu wake........................(3,000,000,000.00)
4. Malipo ya Posho na usafiri kwa wanaohudhuria mikutano ya CCM kwa mwezi................(1,000,000,000.00)
5. Mgao kwa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.....................................................(1,000,000,000.00)
6. Operation tokomeza CHADEMA..................................................................................(1,000,000,000.00)
7. Zana za Kuwindia Tembo, Faru, Twiga, Mamba na Wanyama wengine............................(100,000,000.00)
8. Sare za CCM; Kofia, Khanga na Vitenge.......................................................................(500,000,000.00)
9. Posho kwa Viongozi wa dini........................................................................................(200,000,000.00)
10. Mgawo kwa Wazee Maarufu, vikundi vya uhamasishaji................................................(100,000,000.00)
11. Kamati ya ufundi/Sangoma........................................................................................(100,000,000.00)
Jumla ya Matumizi ya CCM kwa Mwezi.............................................................................(10,000,000,000.00)
imetumika kufungua matawi ya chama kwa nchi nzima.Inatumika kuwalipa watumishi na viongozi wa chama,Inatumika kuanzisha miradi mbalimbali ya chama.na kununulia vifaa mbalimbali vya chama ikiwemo magari.Na ruzuku ya CCM nayo inafanya mambo gani
kwa kuwa data ulizoweka hapa zina na takwimu; ni lazima kutakuwa na chanzo cha habari ambacho ni rasmi.hebu tuambie data hizi umepata wapi? usiposema utakuwa na lengo la kuleta fitna na fitna si kitu chema.Mchanganuo wa Matumizi ya Bilioni Kumi za Ruzuku kwa CCM kila Mwezi:
1. Mapato yatokanayo na ruzuku kwa mwezi..................................................................10,000,000,000.00
2. Mgawo kwa Makada wa CCM...................................................................................(3,000,000,000.00)
3. Posho ya kujikumu kwa M/Kiti, Makamu/Mkiti, Katibu na manaibu wake........................(3,000,000,000.00)
4. Malipo ya Posho na usafiri kwa wanaohudhuria mikutano ya CCM kwa mwezi................(1,000,000,000.00)
5. Mgao kwa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.....................................................(1,000,000,000.00)
6. Operation tokomeza CHADEMA..................................................................................(1,000,000,000.00)
7. Zana za Kuwindia Tembo, Faru, Twiga, Mamba na Wanyama wengine............................(100,000,000.00)
8. Sare za CCM; Kofia, Khanga na Vitenge.......................................................................(500,000,000.00)
9. Posho kwa Viongozi wa dini........................................................................................(200,000,000.00)
10. Mgawo kwa Wazee Maarufu, vikundi vya uhamasishaji................................................(100,000,000.00)
11. Kamati ya ufundi/Sangoma........................................................................................(100,000,000.00)
Jumla ya Matumizi ya CCM kwa Mwezi.............................................................................(10,000,000,000.00)
Na ruzuku ya CCM nayo inafanya mambo gani
Nimejua siri nzito wengi wa wanajamvi ni wototo wa vyuo vikuu ambao hulipwa posho ya sh elfu tano kwa siku kuipigia debe chadema kwenye mitandao mbalimbali kama ilivyokuwa katika maandamano ya vijana wa udom.ndio maana hoja nyingi za watoto hawa zikipigia debe chadema hazina uzito bali zimejaa matusi.taarifa hii ni kweli kwani bavicha mmoja alinieleza.hivi ndivyo fedha za ruzuku zinavyofanya kazi
mtwambie za chama cha magamba zinafanya nini?sijui kwa nini alijengewa slaa ingefaa angejengewa mamayo au vipi
Rejea Taarifa ya Makabidhiano ya Mwigulu Nchemba kwa Zakia Hamdani Meghji....kwa kuwa data ulizoweka hapa zina na takwimu; ni lazima kutakuwa na chanzo cha habari ambacho ni rasmi.hebu tuambie data hizi umepata wapi? usiposema utakuwa na lengo la kuleta fitna na fitna si kitu chema.
inapatikana wapi?hebu i paste hapa!Rejea Taarifa ya Makabidhiano ya Mwigulu Nchemba kwa Zakia Hamdani Meghji....
any way wakija watu wanaoongozwa na emotions hapa ujiandae kutukanwa ila kifupi ruzuku ya chadema kwa mwaka jana imetumika kugharamia maandamano na ule mkakati wa kuifanya nchi isitawalike.kumekuwa na mjadala hapa jukwaan kuhusu matumiz ya hela katika chama cha demokrasia na maendeleo,mie nikiwa mdau wa siasa nikaamua kufanya utafiti mdogo tu kuhusu fedha wanazopewa kama ruzuku zinatumikaje katika wilaya mbali mbali.nimefanya sample ya wilaya zaid ya kumi na naweza nikaja na majina ya hizo wilaya mtagundua ya kwamba ruzuku hawapelekewi wilayan kwa ajili ya ujenz wa chama,hizo fedha kama haziendi kujenga chama kwa madai ya kutaka kununulia vyombo vya usafiri{kwa mujibu wa katibu wa wilaya moja) je hzo ofisi zinajiendesha vp?chama kama cuf wanawatuma kila mwez wilayan kwa ajili ya uenez wa chama wakati wao ruzuku yao ni ndogo kulinganisha na cdm,ifike mahali cdm wasitafute mchawi mchawi wa kukua kwa chama ni wao wenyewe wakiamin muda kujua wanatakiwa kufika wilayan wkt wa uchaguz,