TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Tatizo wabunge wetu wanashindwa kutofautisha "uongozi" na "ufadhili".
Na hii ndo inazidi kulemaza wananchi wabaki kuwa watu wa kuletewa tu.
Kwa hapo sioni tofauti kati ya mbunge Msigwa na Mohamed dewji wa Singida.
Wewe ndo unashindwa kutofautisha kati ya kiongozi na mbunge,je hujui kwamba mbunge ni kiongozi? Katika nafasi ipi? Kwa kuwa tunajua jf hatutakiwi kupinga kwa matusi napenda nikuambie kwamba wewe unapenda kupewa vijisendi,watu wa IR Kwa sasa [VIFUNYA YI CCM]maana wamegundua kwamba maendeleo ni kutatua karaha zilizodumu miaka nenda rudi.PIA HAWA JAMAA WANAHISTORIA MOJA WAKISEMA BASI MAANA YAKE BASI,NI HERI WAJITUNDIKE.Mkwavinyika!