Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,599
- 217,991
Huyu ametokea Mkoa wa Morogoro , Mkoa ambao kwa miaka mingi umeongoza kwa unyama dhidi ya viongozi wa Chadema , Matei hata kabla ya uchunguzi alijiropokea mbele ya waandishi wa habari kwamba Diwani wa Chadema aliuawa kwa sababu ya visasi , mpaka leo bado hajathibitisha uongo wake.
Huyu ndiye amesimamia mateso ya viongozi na wabunge wa Chadema Mkoani Morogoro akiwemo Mbunge wa Kilombero Mh Peter Lijuakali , ni askari asiyeaminika linapokuja suala la kulinda ccm , aangaliwe kwa jicho la Tai .
Nakala iwafikie wafuatao :
Mh Msigwa
Mh Sugu
Mh Masonga
Mh Mwambigija
Mh Kasyupa Alipipi
Mh Mwanyamaki
Huyu ndiye amesimamia mateso ya viongozi na wabunge wa Chadema Mkoani Morogoro akiwemo Mbunge wa Kilombero Mh Peter Lijuakali , ni askari asiyeaminika linapokuja suala la kulinda ccm , aangaliwe kwa jicho la Tai .
Nakala iwafikie wafuatao :
Mh Msigwa
Mh Sugu
Mh Masonga
Mh Mwambigija
Mh Kasyupa Alipipi
Mh Mwanyamaki