Tokea kukamilika kwa uchaguzi mkuu wa 2010, viongozi wa CDM wamekuwa very busy kuhangaika na uchaguzi wa meya wa arusha tuu, hali hii imeanza kutukatisha tamaa sisi wapenzi na washabiki wa CDM kwa kuwa hivi sasa taifa linakabiliwa na matatizo kibao kupanda kwa gharama za maisha, kushuka kwa thamani ya shilingi yetu na hivi karibuni Seikali kushindwa kutimiza majukumu ya kifedha. Aidha watendaji mbali mbali serikali na taasisi na mshiriki ya umaa waliowekwa kimkakati katia asasi hizo wamefungulia ufisadi wa kutisha kwa kufuja fedha za ummma kama kwamba dunia na Tanzania ndio inafikai kikomo.
Che kushungaza wakati haya yote yakitokea viongozi wa CDM hawaonekani kujishughulisha kutaka kuleta mabadiliko katika matatizo haya badala yake kila siku ni uchaguzi wa meya Arusha. Halafu wanatutaka tuandamane nchi nzima kwa ajili hiyo.
Sio ombi tena tunawataka viongozi wetu wawaachie wat wa Arusha mamabo yao na waanze mara moja kushughulikia kero zinazotusumbua kama Taifa. Na huyo anayejiita Ndg Heche tokea achaguliwe kushika wadhifa wa Uenyekiti wa BAVICHA hatujamuaona kuja mitaani kuimarisha chama leo anatutaka kupitia vyombo vya habari tukaandamane tena kwa sababu zisizo na msingi wowote.
CDM tifani acheni kufikiria ndani ya boksi tu, tokeni ndani ya boksi muone hali halisi nje ikoje; ama sivyo mtkuja kujikuta mko peke yenu. Waulizeni akina Mrema, Lipumba n.k
Dr.W.Slaa said:watanabe,
Mawazo yako ni kielelezo cha uvivu wa kufikiri na kutafiti .
I.Chama gani zaidi ya Chadema kimezunguka zaidi ya mikoa 13 na majimbo yote ya mikoa hiyo tangu uchaguzi mkuu wa mwaka jana?
2. Mbona huelezi kwanini JK hadi sasa hajafanya ziara ya kutoa shukrani na kutatua kero za kitaifa?
3, kama wewe hujui ajenda za chadema kwenye mikutano hiyo waulize wa tz wakiwemo wa mbeya.
4. Enziza propaganda na upotoshaji zimeisha.
Kiukweli kaka ktk hili nakuunga mkono cos kuna wafanyabiashara ndogo ndogo na maduka wanalazimika kufunga maduka yao kisa maandamano ya kila cku,mpaka wengine wanakata tamaa na Lema waliamini atawatoa hatua moja kwenda nyingine kumbe wameleta mizozo isiyoisha na maandamano ya kila cku pasipo sababu za msingi,kweli wanadai haki ila mm na zani bungeni kungekuwa sehemu muhimu ya kudai haki za kimsingi kuliko kuwafanya watu kila cku kuwaza na kesho kunalipi linakuja,Lema afanye kazi,atekeleze ahadi kwa wananchi na sio kugombana na jeshi la polici,kwa ajili yake amelazimisha uongozi wa juu wote wa chama kuwa kufunguliwa mashtaka,ametoa ahadi nyingi sana anatakiwa awasimamie watendaji wa magamba kuakikishe pesa ktk halimashauri zinatumika ipasavyo,sasa mtu kila cku kec anawafanya watendaji walafi waendelee kula tu cos no barking dog,anatukatisha tamaa mwisho wa cku tutamchoka
Tokea kukamilika kwa uchaguzi mkuu wa 2010, viongozi wa CDM wamekuwa very busy kuhangaika na uchaguzi wa meya wa arusha tuu, hali hii imeanza kutukatisha tamaa sisi wapenzi na washabiki wa CDM kwa kuwa hivi sasa taifa linakabiliwa na matatizo kibao kupanda kwa gharama za maisha, kushuka kwa thamani ya shilingi yetu na hivi karibuni Seikali kushindwa kutimiza majukumu ya kifedha. Aidha watendaji mbali mbali serikali na taasisi na mshiriki ya umaa waliowekwa kimkakati katia asasi hizo wamefungulia ufisadi wa kutisha kwa kufuja fedha za ummma kama kwamba dunia na Tanzania ndio inafikai kikomo.
Che kushungaza wakati haya yote yakitokea viongozi wa CDM hawaonekani kujishughulisha kutaka kuleta mabadiliko katika matatizo haya badala yake kila siku ni uchaguzi wa meya Arusha. Halafu wanatutaka tuandamane nchi nzima kwa ajili hiyo.
Sio ombi tena tunawataka viongozi wetu wawaachie wat wa Arusha mamabo yao na waanze mara moja kushughulikia kero zinazotusumbua kama Taifa. Na huyo anayejiita Ndg Heche tokea achaguliwe kushika wadhifa wa Uenyekiti wa BAVICHA hatujamuaona kuja mitaani kuimarisha chama leo anatutaka kupitia vyombo vya habari tukaandamane tena kwa sababu zisizo na msingi wowote.
CDM tifani acheni kufikiria ndani ya boksi tu, tokeni ndani ya boksi muone hali halisi nje ikoje; ama sivyo mtkuja kujikuta mko peke yenu. Waulizeni akina Mrema, Lipumba n.k
Kwanza kabisa wewe haujui ki undani kwanini chadema wanaandaa maandamano haki hakuna katika Tanzania ya leo,uchaguzi wa meya haukua wa haki namaanisha wakazi wa arusha wamenyimwa haki yao ya msingi ya kuwa na meya kutoka kwenye chama wanachokipenda na kilichoshinda kwa kishindo,kaka inaelekea unashsbikia CCM wanavyotumia ubabe kuendesha nchi hii? wewe ndio hautaki wananchi wa Arusha wanataka haki ndio maana wapo mstari wa mbele kutetea haki yao msitumie sababu zisizo na msingi kukizoofisha chama cha chadema.Sina chama mimi ni mwana harakati fikiri kabla ya kutenda
Unaweza kuniambia hicho chma kinajemngwa wapi? hatuoni matawi mapya kufunguliwa, watu wanaotaka kadi za CDM hawajui zinzptikana vipi kila kukicha ni masuala ya meya mmoja tu. Umesahau ahadi za Dr SLaa kuwa kwa kutokuwa bungeni atapa fursa nzuri ya kukuza na kuimarisha chama hadi ngazi za mashina, Sasa haya masuala ya umeya wa Arusha ndio kukuza chama hadi ngazi ya shina?
Join Date : 2nd November 2011, Posts : 3, Rep Power : 0 Kadai maendeleo kwa chama cha magamba kwa kuwa wamekuwa madarakani miaka 50. Sehemu ya maendeleo ni maisha bora kwa kila mtanzania ambayo yamegeuzwa kuwa bora maisha. Halafu mwambie aliyekutuma akutayarishe kutoa maoni hapa. Hapa si uwanja wa mazoeziHivi umeona umeya wa Arusha na maandamano ndio suluhisho la matatizo ya watanzania. Tunataka maendeleo sio malumbano yasio na tija wala maslahi kwa watnznia
[/INDENT][/COLOR]
Dr.W.Slaa,
..nimesikitishwa na kauli yako niliyoi-highlight with red.
..kuna mahala pengine ulitumia maneno kama hayo kwa kiongozi ambaye sitapenda kumtaja hapa.
..kama kiongozi anayetafuta ridhaa ya kuongoza nchi nadhani ingependeza kama ungeachana na kauli kama hizo unapo-respond kwa maswali ya wananchi, hata kama maswali hayo yanakera.
..ungemjibu tu Watanabe, kwamba CDM mmefanya mikutano kadhaa, na suala kama muuliza swali ni "mvivu wa kufikiri na kutafiti" ungetuachia sisi tuamue.
..natumai utazingatia ushauri wangu wenye nia njema.
Hivi umeona umeya wa Arusha na maandamano ndio suluhisho la matatizo ya watanzania. Tunataka maendeleo sio malumbano yasio na tija wala maslahi kwa watnznia
watanabe,
Mawazo yako ni kielelezo cha uvivu wa kufikiri na kutafiti .
I.Chama gani zaidi ya Chadema kimezunguka zaidi ya mikoa 13 na majimbo yote ya mikoa hiyo tangu uchaguzi mkuu wa mwaka jana?
2. Mbona huelezi kwanini JK hadi sasa hajafanya ziara ya kutoa shukrani na kutatua kero za kitaifa?
3, kama wewe hujui ajenda za chadema kwenye mikutano hiyo waulize wa tz wakiwemo wa mbeya.
4. Enziza propaganda na upotoshaji zimeisha.
Unaweza kuniambia hicho chma kinajemngwa wapi? hatuoni matawi mapya kufunguliwa, watu wanaotaka kadi za CDM hawajui zinzptikana vipi kila kukicha ni masuala ya meya mmoja tu. Umesahau ahadi za Dr SLaa kuwa kwa kutokuwa bungeni atapa fursa nzuri ya kukuza na kuimarisha chama hadi ngazi za mashina, Sasa haya masuala ya umeya wa Arusha ndio kukuza chama hadi ngazi ya shina?
[/INDENT][/COLOR]
Dr.W.Slaa,
..nimesikitishwa na kauli yako niliyoi-highlight with red.
..kuna mahala pengine ulitumia maneno kama hayo kwa kiongozi ambaye sitapenda kumtaja hapa.
..kama kiongozi anayetafuta ridhaa ya kuongoza nchi nadhani ingependeza kama ungeachana na kauli kama hizo unapo-respond kwa maswali ya wananchi, hata kama maswali hayo yanakera.
..ungemjibu tu Watanabe, kwamba CDM mmefanya mikutano kadhaa, na suala kama muuliza swali ni "mvivu wa kufikiri na kutafiti" ungetuachia sisi tuamue.
..natumai utazingatia ushauri wangu wenye nia njema.