Tokea kukamilika kwa uchaguzi mkuu wa 2010, viongozi wa CDM wamekuwa very busy kuhangaika na uchaguzi wa meya wa arusha tuu, hali hii imeanza kutukatisha tamaa sisi wapenzi na washabiki wa CDM kwa kuwa hivi sasa taifa linakabiliwa na matatizo kibao kupanda kwa gharama za maisha, kushuka kwa thamani ya shilingi yetu na hivi karibuni Seikali kushindwa kutimiza majukumu ya kifedha. Aidha watendaji mbali mbali serikali na taasisi na mshiriki ya umaa waliowekwa kimkakati katia asasi hizo wamefungulia ufisadi wa kutisha kwa kufuja fedha za ummma kama kwamba dunia na Tanzania ndio inafikai kikomo.
Che kushungaza wakati haya yote yakitokea viongozi wa CDM hawaonekani kujishughulisha kutaka kuleta mabadiliko katika matatizo haya badala yake kila siku ni uchaguzi wa meya Arusha. Halafu wanatutaka tuandamane nchi nzima kwa ajili hiyo.
Sio ombi tena tunawataka viongozi wetu wawaachie wat wa Arusha mamabo yao na waanze mara moja kushughulikia kero zinazotusumbua kama Taifa. Na huyo anayejiita Ndg Heche tokea achaguliwe kushika wadhifa wa Uenyekiti wa BAVICHA hatujamuaona kuja mitaani kuimarisha chama leo anatutaka kupitia vyombo vya habari tukaandamane tena kwa sababu zisizo na msingi wowote.
CDM tifani acheni kufikiria ndani ya boksi tu, tokeni ndani ya boksi muone hali halisi nje ikoje; ama sivyo mtkuja kujikuta mko peke yenu. Waulizeni akina Mrema, Lipumba n.k
Che kushungaza wakati haya yote yakitokea viongozi wa CDM hawaonekani kujishughulisha kutaka kuleta mabadiliko katika matatizo haya badala yake kila siku ni uchaguzi wa meya Arusha. Halafu wanatutaka tuandamane nchi nzima kwa ajili hiyo.
Sio ombi tena tunawataka viongozi wetu wawaachie wat wa Arusha mamabo yao na waanze mara moja kushughulikia kero zinazotusumbua kama Taifa. Na huyo anayejiita Ndg Heche tokea achaguliwe kushika wadhifa wa Uenyekiti wa BAVICHA hatujamuaona kuja mitaani kuimarisha chama leo anatutaka kupitia vyombo vya habari tukaandamane tena kwa sababu zisizo na msingi wowote.
CDM tifani acheni kufikiria ndani ya boksi tu, tokeni ndani ya boksi muone hali halisi nje ikoje; ama sivyo mtkuja kujikuta mko peke yenu. Waulizeni akina Mrema, Lipumba n.k