Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,363
- 217,395
- Thread starter
- #41
Sidhani kama unachangia uzi huumkuu halima mdee wa jf, nilikutahadharisha mapema juu ya kick zenu za kishamba kuwa zitabuma ukaninanga ati nimetumwa humu jf kuwajibu cdm,
Lakn sasa hivi nadhani unaona mwenyew mamb yana jipa,
Leo lissu kakanusha kuhutubia bunge la ulaya, sijui baada ya hapa mtatunga uongo gani maskini!!
Any way mnahama ufipa mje hapa makambako?? Au ufipa itabaki kuwa kama banda la kuku kama miaka yote mkuu😁😁😂😂😂😂