Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
CDM imeketika vipande vipande.Yapo makundi mawili makubwa moja likifahamika CHADEMA maandamano na lingine CHADEMA muafaka.CHADEMA maandamano linaongozwa na mwenyekiti taifa akisaidiwa na wabunge wapenda fujo Lema,Lissu na katibu mkuu Slaa.CHADEMA muafaka inaongozwa na Zitto Kabwe,Halima Mdee,John Mnyika na madiwani waliowekwa kando na kamati kuu ya CDM.
Kundi la CHADEMA muafaka halipendi fujo wafuasi wake wengi ni wasomi wanataka amani,utulivu na ustawi wa uchumi wa Tanzania uenziwe.CHADEMA muafaka ni kundi linalopenda kuenzi demokrasia ndani ya chama na nchi.
Kundi la CHADEMA maandamano linapenda siasa za fujo,viongozi wake hawajali amani na utulivu.Hawajali sheria za nchi wako tayari kuvamia na kuchoma moto ofisi ya mkurugenzi wa jiji la Arusha kwa visingizio hewa.wanadai wamedhulumiwa umeya lakini hawasemi kweli CCM ina madiwani 16 CDM 14 na TLP 2 watashindaje umeya ?.Kundi la CHADEMA maandamano linaongozwa na viongozi wanafiki,waongo,warushi,wazushi na majambazi.
Haijulikani kundi gani litashinda na kushika hatamu za chama.CHADEMA maandamano likishinda Tanzania itakumbwa na maandamano kama ya Syria,CHADEMA muafaka ikishinda Tanzania itasalimika na umwagaji wa damu.
Baada ya CCM kulundika makundi zaidi ya matatu ndani ya chama umekuja na idology ya kuzusha eti na CDM ina makundi. Inaonyesha utotoni mwako ulikua unatabia ya kupiganisha kuku. Izi story kajidili facebook na wenzako wenye upeo mfupi.