we ulitaka washerekee ujinga huo alafu ukiona mtu au watu wanesherekea x2 hasa kwenye taifa lenye shida na matatizo mengi yanayo mgusa kila mwananchi ujue huyo mtu anamatatizo ya akili
Haja ya kusheherekea ipo ila there is no need to yearly. We could do that every 5 yrs and save a lot of money, money that could be used to improve infrastructure. Magamba lazima wakubali kuwa Tanzania ni nchi maskini ingawa tuna rasilimali nyingi kidogo tulichonacho tutumie wisely sio kila siku kutegemea investors ambao wanatuexploit.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.