Wewe sema hivi. Leo ni siku ya historia ambayo KATIBU MKUU wa chama cha Chadema kung'atuka baada ya kuona viongozi wenzake wamempuuzia kutokana na ujinga wake wa kutaka kukikosesha chama RUZUKU ya angalau at least MILION 40 ya kila mwezi. Hapo nani akubali ujinga huo. Mbowe timua huyo kikaragosi anataka kuua chama chetu pendwa
Chama kina wanachama milion 6 hivi hizo milioni 40 ni pesa kiasi gani kwa mwezi kwa kila mwanachama ndo wale matapishi sababu ya ruzuku mbona mabeberu wamesema bora wasaidie vyama vinavyotetea demokrasia kuliko kutoa mssada kwa serikali za kidikteta sasa wana shida gani na hizo ruzuku za kuuza utu wao pamoja na heshima yao. Hiyo aibu haiwezi kunyamaziwa ni kuwafukuza tu hakuna haja ya hiyo ruzuku